Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubelgiji

  • Marais wa Tanzania na Afrika Kusini wapigia debe fursa za uwekezaji

    Marais wa Tanzania na Afrika Kusini wapigia debe fursa za uwekezaji

    Aug 15, 2019 13:19

    Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani amewakaribisha wafanyabiashara wa Afrika Kusini kwenda kuwekeza katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za afya, hoteli, utalii wa fukwe na uchakataji wa madini

  • Jumatatu tarehe 25 Machi 2019

    Jumatatu tarehe 25 Machi 2019

    Mar 25, 2019 00:10

    Leo ni Jumatatu tarehe 18 Rajab 1440 Hijria sawa na tarehe 25 Machi mwaka 2019.

  • Ubelgiji yatakiwa kuiomba radhi DRC kwa jinai za enzi za ukoloni

    Ubelgiji yatakiwa kuiomba radhi DRC kwa jinai za enzi za ukoloni

    Feb 12, 2019 14:25

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Ubelgiji iiombe radhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na jinai ilizowafanyia Wakongomani katika kipindi cha ukoloni.

  • Jumapili Februari 3

    Jumapili Februari 3

    Feb 03, 2019 01:23

    Leo ni Jumpilii tarehe 27 Jamadul-Awwal 1440 Hijiria, sawa na tarehe tatu Fenruari 2019 Miladia.

  • Kotzias: Wahajiri wanapewa viza za Ugiriki kwa shabaha ya kunyofolewa viungo vyao

    Kotzias: Wahajiri wanapewa viza za Ugiriki kwa shabaha ya kunyofolewa viungo vyao

    Dec 02, 2018 03:41

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Ugiriki amefichua kwamba, baadhi ya mabalozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo nje ya nchi wanawapa watoto wa wahajiri viza na vibali vya kuingia nchini humo kwa lengo la kwenda kunyofolewa viungo vyao na kuuzwa katika masoko ya magendo.

  • Watu 74 wapoteza maisha katika janga la moto nchini Ugiriki

    Watu 74 wapoteza maisha katika janga la moto nchini Ugiriki

    Jul 25, 2018 04:27

    Idadi ya watu waliopoteza maisha nchini Ugiriki baada ya moto mkubwa kuzuka kilomita 35 mashariki mwa mji mkuu Athens imefikia 76.

  • Ubelgiji yasimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia

    Ubelgiji yasimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia

    Jul 01, 2018 07:53

    Mahakama ya Juu ya Ubelgiji imesimamisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia ikisema kuwa serikali ya nchi hiyo ilishindwa kutathmini rekodi mbaya ya ukiukaji wa haki za binadamu ya utawala huo wa kifalme kabla ya kutoa leseni za kuruhusu mauzo hayo.

  • Bemba awasili nchini Ubelgiji baada ya kuachiwa huru na ICC

    Bemba awasili nchini Ubelgiji baada ya kuachiwa huru na ICC

    Jun 16, 2018 07:21

    Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba, ambaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC siku chache zilizopita ilimuondoa hatiani kuhusu jinai za kivita, amewasili nchini Ubelgiji baada ya kuachiliwa huru na mahakama hiyo.

  • Jumapili, Machi 25, 2018

    Jumapili, Machi 25, 2018

    Mar 25, 2018 05:23

    Leo ni Jumapili tarehe saba Rajab 1439 Hijiria inayosadifiana na tarehe 25 Machi mwaka 2013 Miladia.

  • Kongo DR yaiagiza Ubelgiji ifunge ubalozi wake nchini humo na ipunguze safari za ndege

    Kongo DR yaiagiza Ubelgiji ifunge ubalozi wake nchini humo na ipunguze safari za ndege

    Feb 07, 2018 08:17

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeagiza Ubelgiji ifunge ubalozi wake mdogo ulioko nchini humo sambamba na kupunguza safari za ndege za shirika la Brussels Airlines kueleka katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS