Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Baraza la Wataalamu

  • Uchaguzi na umoja wa kitaifa nchini Iran

    Uchaguzi na umoja wa kitaifa nchini Iran

    Mar 04, 2024 13:27

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio makala yetu ya wiki ambayo itaangazia uchaguzi na umoja wa kitaifa nchini Iran.

  • Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Feb 24, 2024 09:19

    Ufuatiliaji na uchunguza wa mienendo na harakati za maadui kuhusu uchaguzi wa Machi Mosi nchini Iran unaonyesha kuwa wanautazama uchaguzi huo wa Bunge kwa mtazamo wa kiusalama.

  • Sababu za maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupiga upatu wa kuwachochea wananchi wasusie uchaguzi

    Sababu za maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupiga upatu wa kuwachochea wananchi wasusie uchaguzi

    Feb 17, 2024 09:24

    Wiki mbili zimebakia hadi kufanyika uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu na wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusimamia kazi zake. Jambo hilo limepelekea maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuzidisha propaganda zao za kuwachochea wananchi wasusie uchaguzi huo.

  • Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Mar 06, 2016 15:30

    Rais Hassan Rouhani amesema kwa mara nyingine tena kuwa wananchi wa Iran wamewastaajabisha walimwengu kutokana na namna walivyoshiriki kwa wingi katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu uliofanyika hivi karibuni.

  • Ayat. Larijani: Kujitokeza kwa wingi Wairani kupiga kura, ishara ya kushindwa njama za mabeberu

    Ayat. Larijani: Kujitokeza kwa wingi Wairani kupiga kura, ishara ya kushindwa njama za mabeberu

    Mar 01, 2016 08:04

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kujitokeza kwa wingi wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu katika uchaguzi wa Ijumaa iliyopita ni ithibati tosha kuwa taifa la Iran linatii miito ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kutuma ujumbe wa kufeli njama za mabeberu dhidi ya taifa hili.

  • Mamilioni ya Wairani wamejitokeza kupiga kura

    Mamilioni ya Wairani wamejitokeza kupiga kura

    Feb 26, 2016 16:18

    Mamillioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza kupiga kura katika chaguzi mbili muhimu Ijumaa hii.

  • Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran

    Chaguzi za Bunge na Baraza la Wataalamu kufanyika leo Iran

    Feb 26, 2016 01:49

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Iran amesema kuwa maandalizi na taratibu zote za uchaguzi wa kumi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na wa tano Baraza la Wataalamu zimekamilika.

  • Uchaguzi wa Iran una taathira kubwa zaidi kieneo

    Uchaguzi wa Iran una taathira kubwa zaidi kieneo

    Feb 24, 2016 07:31

    Mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa amesema uchaguzi wa Iran ni muhimu katika eneo

  • Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi

    Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi

    Feb 21, 2016 02:46

    Waziri wa Mambo ya Ndani Iran amesema mipango ya imekamilika kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu wiki hii.

  • Watu karibu milioni 55 wametimiza masharti ya kupiga kura nchini Iran

    Watu karibu milioni 55 wametimiza masharti ya kupiga kura nchini Iran

    Feb 15, 2016 03:07

    Mohammad Hussein Muqimi Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Iran ametangaza kuwa, raia milioni 54, laki tisa na elfu kumi na tano na ishirini na nne wametimisha masharti ya kupiga kura katika uchaguzi ujao wa mwezi huu wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran na Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS