Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchaguzi wa bunge

  • Benjamin Netanyahu katika ukingo wa kuporomoka

    Benjamin Netanyahu katika ukingo wa kuporomoka

    Sep 20, 2019 02:25

    Zaidi ya asilimia 90 ya kura zilizohesabiwa katika uchaguzi wa bunge la utawala haramu wa Israel, inaeleza kuwa Benjamin Netanyahu yuko katika ukingo wa kutupwa kando, na kuna uwezekano wa kuingia madarakani waziri mkuu mpya.

  • Al Ghannouchi kushiriki uchaguzi wa bunge Tunisia

    Al Ghannouchi kushiriki uchaguzi wa bunge Tunisia

    Jul 22, 2019 02:33

    Kiongozi wa chama cha Kiislamu cha An Nahdhah cha nchini Tunisia ametangaza rasmi kuwa atashiriki katika uchaguzi ujao wa bunge wa nchi hiyo.

  • Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 07:43

    Venezuela ambayo ni nchi ya Latin America kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikikabiliwa na machafuko kutokana na kupungua bei ya nishati ya mafuta katika soko la dunia.

  • Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Dec 08, 2018 07:57

    Baada ya kufanyika uchaguzi wa kimaonyesho wa bunge nchini Bahrain, Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa amemkabidhi tena jukumu la kuunda serikali mpya, mtu yule yule ambaye anajulikana kuwa waziri mkuu pekee katika historia ya nchi hiyo.

  • Chama tawala chazoa viti vingi katika uchaguzi wa Bunge Mauritania

    Chama tawala chazoa viti vingi katika uchaguzi wa Bunge Mauritania

    Sep 18, 2018 07:06

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Mauritania imetangaza habari ya kuibuka mshindi chama tawala nchini humo katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge iliyofanyika Septemba 15.

  • Wasimamizi wa uchaguzi Mali warefusha mgomo, uchaguzi mkuu matatani

    Wasimamizi wa uchaguzi Mali warefusha mgomo, uchaguzi mkuu matatani

    Jul 04, 2018 03:50

    Wafanyakazi wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi huu nchini Mali wametangaza kuwa wamerefusha mgomo wao, suala ambalo limezusha wasiwasi kuhusu zoezi hilo la kidemokrasia ambalo lilitazamiwa kuhitimisha miaka sita ya machafuko ya kisiasa na mashambulizi yanayofanywa na makundi yenye misimamo mikali.

  • Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama

    Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama

    Jun 12, 2018 04:17

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema: Saudi Arabia imetumia katika muda mfupi tu dola milioni 200 kwa ajili ya uchaguzi wa bunge la Lebanon, lakini harakati ya Hizbullah ndiyo iliyoibuka mshindi katika uchaguzi huo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Waliochoma moto masanduku ya kura wamelenga moja kwa moja usalama na demokrasia yetu

    Waziri Mkuu wa Iraq: Waliochoma moto masanduku ya kura wamelenga moja kwa moja usalama na demokrasia yetu

    Jun 11, 2018 14:06

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, moto uliotokea katika kituo kimoja kikuu cha kuhifadhia masanduku ya kura mjini Baghdad, ni njama zenye lengo la kutoa pigo kwa usalama na demokrasia ya nchi hiyo.

  • Kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge la Iraq chateketea kwa moto

    Kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge la Iraq chateketea kwa moto

    Jun 11, 2018 02:42

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini humo kimeteketezwa na moto.

  • Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena

    Jun 07, 2018 03:17

    Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS