-
Benjamin Netanyahu katika ukingo wa kuporomoka
Sep 20, 2019 02:25Zaidi ya asilimia 90 ya kura zilizohesabiwa katika uchaguzi wa bunge la utawala haramu wa Israel, inaeleza kuwa Benjamin Netanyahu yuko katika ukingo wa kutupwa kando, na kuna uwezekano wa kuingia madarakani waziri mkuu mpya.
-
Al Ghannouchi kushiriki uchaguzi wa bunge Tunisia
Jul 22, 2019 02:33Kiongozi wa chama cha Kiislamu cha An Nahdhah cha nchini Tunisia ametangaza rasmi kuwa atashiriki katika uchaguzi ujao wa bunge wa nchi hiyo.
-
Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela
Feb 04, 2019 07:43Venezuela ambayo ni nchi ya Latin America kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikikabiliwa na machafuko kutokana na kupungua bei ya nishati ya mafuta katika soko la dunia.
-
Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta
Dec 08, 2018 07:57Baada ya kufanyika uchaguzi wa kimaonyesho wa bunge nchini Bahrain, Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa amemkabidhi tena jukumu la kuunda serikali mpya, mtu yule yule ambaye anajulikana kuwa waziri mkuu pekee katika historia ya nchi hiyo.
-
Chama tawala chazoa viti vingi katika uchaguzi wa Bunge Mauritania
Sep 18, 2018 07:06Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Mauritania imetangaza habari ya kuibuka mshindi chama tawala nchini humo katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge iliyofanyika Septemba 15.
-
Wasimamizi wa uchaguzi Mali warefusha mgomo, uchaguzi mkuu matatani
Jul 04, 2018 03:50Wafanyakazi wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi huu nchini Mali wametangaza kuwa wamerefusha mgomo wao, suala ambalo limezusha wasiwasi kuhusu zoezi hilo la kidemokrasia ambalo lilitazamiwa kuhitimisha miaka sita ya machafuko ya kisiasa na mashambulizi yanayofanywa na makundi yenye misimamo mikali.
-
Meja Jenerali Soleimani: Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imebadilika kuwa serikali ya Muqawama
Jun 12, 2018 04:17Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema: Saudi Arabia imetumia katika muda mfupi tu dola milioni 200 kwa ajili ya uchaguzi wa bunge la Lebanon, lakini harakati ya Hizbullah ndiyo iliyoibuka mshindi katika uchaguzi huo.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Waliochoma moto masanduku ya kura wamelenga moja kwa moja usalama na demokrasia yetu
Jun 11, 2018 14:06Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, moto uliotokea katika kituo kimoja kikuu cha kuhifadhia masanduku ya kura mjini Baghdad, ni njama zenye lengo la kutoa pigo kwa usalama na demokrasia ya nchi hiyo.
-
Kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge la Iraq chateketea kwa moto
Jun 11, 2018 02:42Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini humo kimeteketezwa na moto.
-
Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena
Jun 07, 2018 03:17Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.