-
Joe Biden: Trump atafanya jaribio la kuiba kura za uchaguzi wa rais, atang’ang’ania White House
Jun 12, 2020 06:45Mgombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema kuwa ana wasiwasi kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo atafanya jaribio la kuiba kura iwapo atashindwa katika uchaguzi ujao wa rais.
-
Uchunguzi mpya wa maoni Marekani: Wagombea urais wa Democrat watambwaga Trump
Mar 21, 2020 03:52Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonyesha kuwa ikiwa uchaguzi wa rais wa Marekani utafanyika hivi sasa, wagombea wa chama cha Democrat watamshinda rais wa sasa wa nchi hiyo Donald Trump katika kinyang'anyiro hicho.
-
Jumanne Kuu na mustakbali wa uchaguzi wa Wademocrat nchini Marekani
Mar 05, 2020 08:36Siku muhimu zaidi katika kalenda ya uchaguzi wa mchujo wa urais wa Marekani ambayo imepewa jina la Jumanne Kuu katika kambi ya chama cha Democrats imemalizika kwa ushindi wa Joe Biden ambaye inaonekana ndiye atakayekabidhiwa bendera ya chama hiyo kwa ajili ya kupambana na Donald Trump katika uchaguzi wa mwishoni mwa mwaka huu wa 2020.
-
Trump aweka rekodi ya kuandika na kutuma jumbe 125 za Twitter katika siku moja
Jan 23, 2020 04:47Rais Donald Trump wa Marekani ameweka rekodi katika urais wake ya kupitisha muda mwingi katika mtandao wa kijamii anaopendelea kuutumia wa Twitter baada ya kuandika na kutuma jumbe 125 hapo jana sambamba na kuanza rasmi kesi ya kutaka kumuuzulu katika Seneti ya nchi hiyo.
-
Biden aongoza katika kura za maoni za kushinda nafasi ya kuongombea uchaguzi wa chama cha Democrat
Jan 02, 2020 23:21Matokeo mapya ya kura ya maoni ndani ya chama cha Democrat nchini Marekani yanamuonyesha Joe Biden, makamu wa rais wa zamani kuwa anayeongoza washindani wengine wa chama hicho.
-
Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington
Dec 11, 2019 22:46Uhusiano wa Marekani na Russia hususan baada ya kuibuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, unashuhudia mivutano mingi ambapo Washington mbali na kukabiliana na Moscow katika uga wa masuala ya kiusalama, kijeshi na kisiasa pia imeiwekea mashinikizo makali Russia katika nyuga tofauti za kisiasa, kidiplomasia, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, mauzo ya silaha na nishati.
-
Mgombea urais Marekani: Nikishinda uchaguzi nitairejesha Marekani JCPOA na kuiondolea Iran vikwazo
Sep 20, 2019 23:34Mgombea urais wa chama cha Democrat kwenye duru ya mwanzo katika uchaguzi wa rais nchini Marekani amesema kuwa iwapo ataibuka mshindi kwenye uchaguzi huo, basi atairejesha nchi hiyo kwenye makubaliano ya nyuklia yanayoitwa Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), sambamba na kuiondolea Iran vikwazo ilivyowekewa.
-
Moscow yatahadharisha kuhusu tuhuma za kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka 2020
Jul 03, 2019 22:11Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amewaambia wabunge wa Marekani kwamba Moscow inapinga uingiliaji kati wowote katika uchaguzi ujao wa Rais wa Marekani.
-
Malalamiko ya Wademocrat wa Marekani kwa ripoti ya Mike Mueller
Mar 26, 2019 22:08Ushindi wa ghafla na uliojaa utata alioupata Donald Trump katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwezi Novemba 2016 ulipokewa kwa hasira kubwa na chama cha Democrat cha nchi hiyo.
-
Hillary Clinton: Uchaguzi wa Marekani unatawaliwa na mfumo dume
Dec 18, 2018 23:19Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton ameushambulia mfumo wa uchaguzi wa nchi hiyo akiutaja kuwa unatawaliwa na mfumo dume.