-
Mwisho wa kuwepo kijeshi Ufaransa nchini Niger, ushindi kwa Waniger
Dec 23, 2023 03:09Kuwepo kijeshi Ufaransa nchini Niger kumemalizika kwa kuondoka kundi la mwisho la wanajeshi wa nchi hiyo huko Niamey mji mkuu wa Niger.
-
Ufaransa kufunga ubalozi wake nchini Niger
Dec 22, 2023 04:26Wanadiplomasia wa Ufaransa wameeleza kuwa nchi hiyo imechukua uamuzi wa kufunga ubalozi wake huko Niamey mji mkuu wa Niger.
-
Niger: Askari wote wa Ufaransa wawe wameondoka nchini ndani ya siku 10
Dec 13, 2023 07:46Jeshi la Niger limetangaza kuwa, askari wote wa Ufaransa walioko nchini humo watakuwa wameondoka kikamilifu katika ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufikia Disemba 22.
-
Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Watoto Katika Nchi za Magharibi
Nov 22, 2023 07:10Jamii za Wamagharibi, khususan zile zilizoendelea na zinazodai kutetea ubinadamu za Ulaya, zina sura nyingine isiyoonekana waziwazi kwa watu wengi.
-
Waalgeria wasusia bidhaa za Ufaransa wakiwatetea Wapalestina
Nov 12, 2023 08:59Uhalifu na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza kwa msaada wa nchi za Magharibi zimewafanya wananchi katika nchi mbalimbali wasusie bidhaa zinazozalishwa katika nchi za Ulaya na Marekani.
-
Maandamano ya kulaani jinai za Israel yafanyika Paris, Ufaransa
Oct 24, 2023 10:23Maelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kushiriki maandamano ya kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, huku idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi hadi sasa ikipindukia 5,000.
-
Ufaransa yaanza kuondoa wanajeshi wake Niger
Oct 10, 2023 10:06Ufaransa imeanza zoezi la kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger, baada ya kutimuliwa na baraza la kijeshi linalotawala nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Baraza la Kijeshi Niger: Kituo cha kijeshi cha Ufaransa kitavunjwa mwisho wa mwaka huu
Oct 05, 2023 10:16Baraza la kijeshi la Niger limetangaza katika taarifa kwamba kituo cha kijeshi cha Ufaransa kilichoko katika mji mkuu Niamey, ambako ndiko waliko wanajeshi wengi wa Ufaransa kitavunjwa ifikapo mwisho wa mwaka huu wa 2023.
-
Raia wa Niger washambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji
Sep 30, 2023 12:16Raia wa Niger wamelishambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji kwa ajili ya wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini humo kinyume cha sheria.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
Sep 29, 2023 04:47Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.