Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia atahadharisha kuenea ghasia za Ufaransa katika nchi nyingine

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia atahadharisha kuenea ghasia za Ufaransa katika nchi nyingine

    Jul 04, 2023 04:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia amesisitiza kuwa nchi za Ulaya zinapasa kubuni sera ili kuzuia machafuko yaliyoigubika Ufaransa kuenea katika nchi nyingine.

  • Ubaguzi wa rangi; Mgogoro mkubwa barani Ulaya

    Ubaguzi wa rangi; Mgogoro mkubwa barani Ulaya

    Jul 03, 2023 08:14

    Kuendelea na kushadidi sera za ubaguzi umekuwa mgogoro mkubwa wa kisiasa na kijamii barani Ulaya, kiasi kwamba katika miezi ya hivi karibuni raia wengi wa Ulaya wametoa wito wa kukomeshwa sera hizo kwa kufanya mikutano na maandamano.

  • Kufikia tamati jukumu la kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali

    Kufikia tamati jukumu la kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali

    Jul 03, 2023 02:41

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja uamuzi wa kuhitimisha uwepo wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali (MINUSMA).

  • Iran yaitaka serikali ya Ufaransa iache kuwakandamiza waandamanaji

    Iran yaitaka serikali ya Ufaransa iache kuwakandamiza waandamanaji

    Jul 02, 2023 07:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Polisi ya Ufaransa inapaswa kujizuia kutumia mabavu dhidi ya waandamanaji wanalalamikia kuuawa kijana wa miaka 17 mikononi mwa polisi

  • Burkina Faso yasimamisha matangazo ya kanali ya LCI ya Ufaransa

    Burkina Faso yasimamisha matangazo ya kanali ya LCI ya Ufaransa

    Jul 01, 2023 09:53

    Serikali ya Burkina Faso imesimamisha kwa muda matangazo ya kanali ya habari ya Kifaransa ya LCI kwa madai ya kutangaza habari za uwongo na upotoshaji.

  • Mgogoro na machafuko vyaendelea nchini Ufaransa, wananchi wapinga ukatili na ubaguzi wa rangi

    Mgogoro na machafuko vyaendelea nchini Ufaransa, wananchi wapinga ukatili na ubaguzi wa rangi

    Jul 01, 2023 09:37

    Kuendelea mgogoro wa kijamii na machafuko yaliyoenea nchini Ufaransa kumeibua hisia tofauti katika ngazi ya viongozi na wanasiasa wa nchi hiyo, na katika ngazi ya Ulaya na dunia nzima kwa ujumla.

  • Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Ufaransa yapiga marufuku hijabu katika mashindano ya soka

    Jun 30, 2023 07:39

    Mahakama Kuu ya Utawala nchini Ufaransa imetoa kibali kwa Shirikisho la Soka la nchi hiyo cha kupiga marufuku vazi la hijabu katika mashindano ya soka ya wanawake.

  • Afisa wa Yemen: Tulikomesha wizi wa mafuta uliofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa

    Afisa wa Yemen: Tulikomesha wizi wa mafuta uliofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa

    Jun 28, 2023 13:15

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Kitaifa ya Wokovu wa Yemen amejibu kauli iliyotolewa na mabalozi wa Ufaransa, Uingereza na Marekani akisisitiza kuwa, kinyume na madai yaliyotolewa katika taarifa yao, Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen haikuzuia mauzo ya mafuta nje ya nchi, lakini ilizuia wizi wa bidhaa hiyo.

  • Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Kremlin yapinga madai ya Macron kwamba Russia 'inayumbisha' amani Afrika

    Jun 24, 2023 11:19

    Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, imekanusha madai ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron kwamba Russia inavuruga utulivu barani Afrika na kuituhumu Moscow kwamba imetuma makundi ya mamluki barani humo.

  • Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Russia yapinga kushiriki Macron katika mkutano wa BRICS

    Jun 24, 2023 10:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov alitangaza Alhamisi iliyopita kwamba Moscow haidhani kuwa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ataruhusiwa kuhudhuria mkutano ujao wa kundi la BRICS nchini Afrika Kusini, kwa sababu Paris inatekeleza sera ya chuki dhidi ya Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS