Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Baada ya kutimuliwa Ufaransa, magaidi 160 waangamizwa Burkina Faso

    Baada ya kutimuliwa Ufaransa, magaidi 160 waangamizwa Burkina Faso

    Feb 21, 2023 04:01

    Magaidi wasipoungua 160 wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Burkina Faso katika eneo la Sahel, wakati huu ambapo mabaki ya askari vamizi wa Ufaransa wanaendelea kuondoka nchini humo.

  • Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 18, 2023 06:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kukutana na 'shakhsia' wanaopinga mfumo wa uongozi na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tokeo mwaka 1979.

  • Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Feb 12, 2023 23:04

    Askari polisi nchini Ufaransa wamewashambulia vibaya mamia ya maelfu ya watu walioshiriki maandamano ya kulalamikia sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo, na hususan mageuzi tata ya pensheni yaliyotazamiwa kuanza kutekelezwa mwaka huu wa 2023.

  • Tathmini ya maandamano ya ‘watu mamilioni moja’ Ufaransa ya kupinga sera za serikali ya Macron

    Tathmini ya maandamano ya ‘watu mamilioni moja’ Ufaransa ya kupinga sera za serikali ya Macron

    Feb 12, 2023 23:03

    Takribani watu milioni moja waliandamana siku ya Jumamosi nchini Ufaransa ikiwa ni mara ya nne wakipinga sera za serikali ya Rais Emmanuel Macron.

  • Iran yajibu uropokaji wa Macron, yamtaka azungumzie silaha za nyuklia za Israel

    Iran yajibu uropokaji wa Macron, yamtaka azungumzie silaha za nyuklia za Israel

    Feb 03, 2023 23:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa matamshi ghalati ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa aliyedai katika mazungumzo yake na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kuwa, eti Paris inatiwa wasiwasi na shughuli za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Waziri: Migomo itatatiza usafiri wa umma kote nchini Ufaransa

    Waziri: Migomo itatatiza usafiri wa umma kote nchini Ufaransa

    Jan 29, 2023 23:16

    Waziri wa Uchukuzi wa Ufaransa amesema migomo ya wafanyakazi wa sekta hiyo kuanzia kesho Jumanne inatazamiwa kulemaza usafiri wa umma katika pembe zote za nchi hiyo ya Ulaya.

  • Kutangaza al-Azhar kususia bidhaa za Sweden na Uholanzi; ulazima wa kuchukua hatua kali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Kutangaza al-Azhar kususia bidhaa za Sweden na Uholanzi; ulazima wa kuchukua hatua kali dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Jan 26, 2023 00:33

    Jumatano ya jana tarehe 25 Januari Chuo cha Kiislamu cha al-Azhar cha nchini Misri kilitoa mwito kwa wananchi wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kususia bidhaa za Uholanzi na Sweden kama moja ya njia za kuunga mkono Qur'ani Tukufu baada ya kushuhudiwa matukio mawili tofauti katika mataifa hayo ya kuchomwa moto Qu'ani Tukufu.

  • Ufaransa yatakiwa iondoe jeshi lake Burkina Faso haraka iwezekavyo

    Ufaransa yatakiwa iondoe jeshi lake Burkina Faso haraka iwezekavyo

    Jan 22, 2023 04:27

    Serikali ya kijeshi inayotawala Burkina Faso imeitaka Ufaransa iwaondoe wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kipindi kifupi kijacho.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Jan 21, 2023 06:48

    Mamia ya wananchi wa Burkina Faso wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu Ouagadougou kushiriki maandamano dhidi ya Ufaransa, hatua inayoonesha jinsi ushawishi wa Paris katika nchi za bara la Afrika unavyoendelea kupungua.

  • Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya

    Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya

    Jan 15, 2023 23:40

    Mkuu wa Kamandi ya Ulinzi wa Kimtandao wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani kwa bara Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS