Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Mar 25, 2022 03:41

    Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.

  • Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Mar 24, 2022 22:00

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.

  • Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 19, 2022 23:13

    Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.

  • Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Mar 07, 2022 23:08

    Wimbi la wakimbizi wa Ukraine ambalo linahesabiwa kuwa ni la kasi kubwa zaidi barani Ulaya baada ya Vita vya Pili vya Duniani, limezitumbukiza nchi mbili za Ufaransa na Uingereza katika vita vya maneno na malumbano.

  • Waalgeria: Ufaransa ilipe fidia kwa hasara ilizotusababishia kwa majaribio yake ya nyuklia

    Waalgeria: Ufaransa ilipe fidia kwa hasara ilizotusababishia kwa majaribio yake ya nyuklia

    Mar 03, 2022 04:24

    Wananchi wa Algeria wameitaka serikali ya Ufaransa ilipe fidia kwa hasara zilizosababishwa na majaribio yake ya nyuklia iliyofanya ndani ya nchi hiyo katika muongo wa 60 wa karne iliyopita.

  • Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Feb 27, 2022 00:47

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali madai ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuhusiana na mji wa Quds na kuonya kuhusiana na matokeo mabaya ya madai hayo.

  • Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Feb 20, 2022 08:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Rais wa Ufaransa kwamba suala kuu litakalosaidia kufikiwa mapatano mjini Vienna ni kuhakikisha maslahi ya wananchi wa Iran yanalindwa hususan kuondolewa vikwazo, kupewa dhamana madhubuti na kufungwa mafaili ya madai ya kisiasa.

  • Ufaransa na washirika wake sasa kuondoa majeshi yao vamizi nchini Mali

    Ufaransa na washirika wake sasa kuondoa majeshi yao vamizi nchini Mali

    Feb 17, 2022 09:52

    Ufaransa na washirika wake wametangaza kuwa, wataondoa askari wao wote kutoka katika nchi ya Mali iliyoko magharibi mwa Afrika.

  • Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel

    Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel

    Feb 17, 2022 06:51

    Pamoja na kushuhudiwa mivutano hivi karibuni kati ya Ufaransa na baadhi ya nchi za eneo la Sahel barani Afrika ikiwemo Mali, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa Jean Yves Le Drian amesisitiza kuwa Ufaransa haitatoka katika eneo la Sahel hata kama itaondoa wanajeshi wake kikamilifu huko Mali.

  • Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu

    Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu

    Feb 17, 2022 04:34

    Mgombea uraisi wa Ufaransa wa chama cha kitaifa cha Rassemblement chenye siasa kali za mrengo wa kulia kwa mara nyingine ameeleza upinzani wake dhidi ya vazi la hijabu la wanawake wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS