-
Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake
Sep 13, 2020 09:07Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtahadharisha mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron kuhusu matatizo atakayokumbana nayo mkabala wake yeye na kumkumbusha jinai na uhalifu uliofanywa na Paris barani Afrika.
-
Sisitizo la Troika ya Ulaya la kutokuwa na itibari jaribio la Marekani la kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Sep 12, 2020 02:54Baada ya kugonga mwamba hatua za kila aina ilizojaribu kuchukua Marekani ili kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, Washington iliibua dai la kutaka kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tehran, ambavyo viliondolewa baada ya kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA;
-
Iran nzima yaandamana kulaani vikali kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa
Sep 10, 2020 07:31Wananchi wa Iran wameendelea kuandamana kulaani kwa nguvu zao zote ufidhuli wa jarida ya Charlie Hebdo la Ufaransa wa kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na pia kitendo cha maadui wa Uslamu cha kuchoma moto nakala ya Qur'ani Tukufu katika mji wa Malmö wa kusini mwa Sweden.
-
Juhudi za Ufaransa za kutaka kuhalalisha uwepo wa majeshi yake nchini Mali
Sep 07, 2020 05:50Hali ya mambo nchini Mali inaripotiwa kuwa mbaya baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyomlazimisha rais wa nchi hiyo kung'atuka madarakani.
-
Askari wengine wa Ufaransa wauawa na kujeruhiwa nchini Mali
Sep 06, 2020 03:09Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa huku mwingine mmoja akijeruhiwa katika shambulizi la kigaidi huko kaskazini mwa Mali.
-
Safari ya Macron nchini Iraq, jitihada za kutunisha nafasi ya Ufaransa eneo la magharibi mwa Asia
Sep 03, 2020 04:30Katika mwezi mmoja uliopita Ufaransa imezidisha harakati zake za kidiplomasia kupitia safari za rais wa nchi hiyo katika nchi za Lebanon na Iraq katika fremu ya kutaka kukuza na kuzidisha nafasi ya Paris katika matukio ya eneo la magharibi mwa Asia.
-
Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW
Sep 02, 2020 03:27Pakistan imelaani vikali uamuzi wa jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).
-
Kufanya safari tena Rais wa Ufaransa nchini Lebanon
Sep 01, 2020 06:10Baada ya kupita takriban mwezi mmoja tangu kutokea mlipuko mkubwa katika bandari ya Beirut, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa mara ya pili ameelekea nchini Lebanon.
-
Ufaransa yakaribisha mapatano kati ya Iran na wakala wa IAEA
Aug 28, 2020 03:19Ufaransa imekaribisha uamuzi wa Iran wa kuuruhusu Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kukagua maeneo mawili ya miradi yake ya nyuklia na kusema hiyo ni hatua kuelekea upande sahihi.
-
Mapinduzi ya Kijeshi nchini Mali na kujiuzulu Rais Keita
Aug 20, 2020 03:26Mapinduzi ya kijeshi yalijiri nchini Mali Jumanne ambapo Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu wake, Boubou Cissé walikamatwa na wanajeshi waasi. Masaa machache baada ya kukamatwa, Rais Keita alijitokeza katika televisheni ya taifa na kutangaza kujiuzulu huku akisisitiza hataki kubakia kwake madarakani kuwe chanzo cha umwagikaji damu.