Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  •  Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Wafaransa wataka uchunguzi ufanyike kadhia ya kujiuwa bilionea wa Kimarekani

    Aug 13, 2019 07:30

    Mawaziri kadhaa wa Ufaransa wametaka kuanza uchunguzi nchini humo kuhusu bilionea wa Kimarekani ambaye ametajwa kuwa alikuwa akijihusisha na magendo ya kuwauza wasichana na mabinti kwa ajili ya biashara ya ngono; bilionea ambaye alikuwa akimfadhili kifedha Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Ufaransa yatahadharisha kuhusu hatua ya Marekani ya kujiondoa katika mkataba wa silaha wa INF

    Ufaransa yatahadharisha kuhusu hatua ya Marekani ya kujiondoa katika mkataba wa silaha wa INF

    Aug 03, 2019 07:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imetangaza kuwa kujiondoa Marekani katika mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF) kunazidisha hatari kwa usalama na amani ya Ulaya.

  • Rais Rouhani: Iran ina nia ya kweli ya kuacha wazi njia zote za kulinda mapatano ya JCPOA

    Rais Rouhani: Iran ina nia ya kweli ya kuacha wazi njia zote za kulinda mapatano ya JCPOA

    Jul 19, 2019 01:58

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwamba, juhudi za Paris za kuyalinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni muhimu na kusisitiza kuwa, Tehran ina nia ya kweli ya kuweka wazi njia zote za kuhakikisha makubaliano hayo yanalindwa.

  • Maandamano ya Vizibao Vyeusi Paris, wakimbizi wa Kiafrika wataka kupewa vibali

    Maandamano ya Vizibao Vyeusi Paris, wakimbizi wa Kiafrika wataka kupewa vibali

    Jul 13, 2019 06:18

    Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika wanaojulikana kwa jila la Harakati ya Vizibao Vyeusi wamefanya maandamano mjini Paris wakitaka kupewa vibali vya kuishi nchini Ufaransa.

  • Bintimfalme wa Saudia kuhukumiwa kifungo cha miezi sita Ufaransa

    Bintimfalme wa Saudia kuhukumiwa kifungo cha miezi sita Ufaransa

    Jul 11, 2019 03:27

    Mwendesha mashtaka mkuu wa Ufaransa ametaka kutolewa hukumu ya kifungo cha miezi sita jela na faini ya yuro elfu sita dhidi ya binti wa mfalme wa sasa wa Saudi Arabia kwa kupatikana na hatia ya kufanya ukatili dhidi ya mfanyakazi aliyekuwa akikarabati nyumba yake mjini Paris.

  • Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Maandamano ya kupinga safari ya Meya wa Israel mjini Paris, Ufaransa

    Jul 01, 2019 08:08

    Wanaharakati na watetezi wa haki za Wapalestina nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris, sambamba na kulaani safari ya Meya wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel, nchini humo.

  • Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena

    Jun 25, 2019 22:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haifuatilii kuingia vitani na Marekani lakini itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena na Marekani.

  • Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa

    Dada yake Bin Salman kufikishwa katika mahakama ya jinai Ufaransa

    Jun 13, 2019 21:56

    Dada yake Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Julai katika mahakama ya jinai nchini Ufaransa, akiandamwa na shitaka la kumuagiza mlinzi wake kumpiga mfanyakazi wa kiume mjini Paris.

  • Iran yakosoa matamshi ya Rais wa Ufaransa alipokutana na Trump

    Iran yakosoa matamshi ya Rais wa Ufaransa alipokutana na Trump

    Jun 07, 2019 02:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alipokutana na mwenzake wa Marekani mjini Paris na kusema matamshi ya Macron hayasaidii katika kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ripoti: Mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp inachochea ufuska na unyanyasaji wa kijinsia

    Ripoti: Mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp inachochea ufuska na unyanyasaji wa kijinsia

    Jun 06, 2019 09:27

    Utafiti uliofanywa katika nchi 35 na kundi la Fondation Scelles la nchini Ufaransa umeitaja mitandao ya kijamii ya Facebook, Snapchat, WhatsApp, Instagram na Tinder kuwa inachochea ufuska na unyanyasaji wa kijinsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS