-
Ufaransa yasisitiza kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 04, 2018 13:10Viongozi wa Ufaransa wamesisitiza tena misimamo yao juu ya kuyalinda na kuyaheshimu makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Jumapili 18 Februari, 2018
Feb 18, 2018 01:31Leo ni Jumapili tarehe Mosi Jamadi tha-Thani 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 18 Februari mwaka 2018 Miladia.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa Afrika
Feb 03, 2018 23:11Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya safari huko Tunisia na Senegal na kufanya mashauriano na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbili hizo kuhusu masuala mbalimbali kama kuzidisha ushirikiano wa pande mbili, mapambano dhidi ya ugaidi na masuala yanayohusiana na Libya.
-
Ubaguzi wa vikosi vya usalama vya Ufaransa dhidi ya Waislamu na Wafaransa wenye asili ya Afrika
Jan 27, 2018 04:33Vikosi vya usalama vya Ufaransa vimekuwa vikiwabagua Waislamu na raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika ikiwa ni katika muendelezo wa siasa za vikosi hivyo za kuwabagua raia wa nchi hiyo ya barani Ulaya.
-
Qassemi: Iran haitafanya mazungumzo na yeyote kuhusu miradi yake ya makombora
Jan 22, 2018 11:00Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haijafanya na haitafanya mazungumzo na nchi yoyote ile kuhusiana na mpango wake wa makombora.
-
Malalamiko ya wanaharakati wa taasisi za kiraia za Kongo DR dhidi ya serikali ya Ufaransa
Jan 22, 2018 09:33Wanaharakati wa makundi ya kiraia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha malalamiko yao wakipinga siasa zinazotekelezwa na serikali ya Ufaransa kuhusu nchi yao.
-
Jumapili, Januari 21, 2018
Jan 20, 2018 23:42Leo ni Jumapili tarehe 3 Jamadul-Awwal mwaka 1439 Hijria sawa na tarehe 21Januari 2018 Miladia.
-
Mahakama ya Ufaransa yawaachia huru askari waliowanajisi watoto Bangui
Jan 17, 2018 04:53Mahakama moja nchini Ufaransa imetangaza kuhitimisha faili la tuhuma za askari wa nchi hiyo waliowanajisi watoto wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa madai ya kutokuwepo ushahidi wa kutosha.
-
Equatorial Guinea yasema jaribio la mapinduzi lilipangwa Ufaransa
Jan 11, 2018 04:10Serikali ya Equatorial Guinea imesema jaribio la mapinduzi lililofeli mwishoni mwa mwaka uliomalizika wa 2017 liliratibiwa ndani ya ardhi ya Ufaransa.
-
HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia
Jan 08, 2018 04:32Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch amezitaka Marekani, Uingereza na Ufaransa ziache kuiuzia silaha Saudi Arabia.