Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Jan 06, 2018 04:13

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Macron aitaka Saudi Arabia isitishe mzingiro huko Yemen

    Macron aitaka Saudi Arabia isitishe mzingiro huko Yemen

    Dec 27, 2017 12:10

    Rais wa Ufaransa amemtaka mfalme wa Saudi Arabia asitishe mzingiro wa nchi yake dhidi ya Yemen.

  • Jumapili, Disemba 24,  2017

    Jumapili, Disemba 24, 2017

    Dec 23, 2017 23:58

    Leo ni Jumapili tarehe 5 Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 24 , 2017

  • Macron: Ufaransa ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel

    Macron: Ufaransa ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel

    Dec 23, 2017 23:55

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa nchi yake ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel barani Afrika ili kushirikiana na vikosi vya Kiafrika katika mapambano dhidi ya wanamgambo wenye misimamo mikali katika eneo hilo.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger

    Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger

    Dec 23, 2017 09:14

    Rais wa Ufaransa amewasili Niger kwa lengo la kukutana na wanajeshi wa nchi hiyo na kuchunguza hali ya mambo katika nchi za magharibi mwa Afrika.

  • Ufaransa: Bashar al-Assad haendi popote, ataendelea kuongoza

    Ufaransa: Bashar al-Assad haendi popote, ataendelea kuongoza

    Dec 18, 2017 03:56

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema hali halisi ya Syria ni kwamba Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo ya Kiarabu ataendelea kubakia madarakani kwa kuwa wapinzani wake wameshindwa 'katika mapambano ya ardhini'.

  • Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Dec 01, 2017 03:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi

    Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi

    Nov 30, 2017 12:49

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa Saudi Arabia inapasa kuacha kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 18 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 18 na sauti

    Nov 29, 2017 08:42

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 18 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS