-
Jeshi la Burkina Faso lathibitisha kuua magaidi 146 kusini mwa nchi
Feb 05, 2019 12:21Jeshi la Burkina Faso limethibitisha kuwa limeua makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi katika operesheni tatu za kulipiza kisasi, kusini magharibi mwa nchi.
-
Saudi Arabia katika faharasa ya Umoja wa Ulaya ya waungaji mkono wa ugaidi
Jan 26, 2019 23:05Saudi Arabia ikiwa kitovu kikuu cha itikadi za Kiwahabi kwenye miaka ya hivi karibuni imekuwa na nafasi kuu na athirifu katika kutoa uungaji mkono wa hali na mali na wa pande zote kwa ugaidi hususan kwa magenge ya kigaidi ya wakufurishaji kwenye eneo la Mashariki ya Kati na maeneo mengine duniani.
-
EU yaiweka Saudia katika orodha ya wafadhili wa ugaidi
Jan 26, 2019 04:40Kamisheni ya Umoja wa Ulaya imeiweka Saudi Arabia katika rasimu ya orodha ya nchi zilizoshindwa kupambana na utakatishaji wa fedha chafu na ambazo ni wafadhili wa makundi ya kigaidi.
-
Viongozi wa Kiislamu Kenya: Ugaidi hauna dini wala kabila
Jan 16, 2019 23:47Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni katika mji mkuu Nairobi, lililopelekea kuuawa makumi ya watu, huku wakisisitiza kuwa ugaidi hauna dini wala kabila.
-
Lori laponda kundi la watu na kuua 20 nchini Nigeria
Jan 13, 2019 12:53Maafisa wa Nigeria wametangaza kuwa, lori moja limevamia kundi la watu katika soko moja lenye mrundikano mkubwa wa watu kusini mwa nchi hiyo na kuua watu wasiopungua 20.
-
Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel
Jan 07, 2019 00:56Wanajeshi wa serikali ya Syria wamenasa silaha zilizotegenezwa Marekani na katika utawala haramu wa Israel ambazo zilikuwa zinatumiwa na magaidi wakufurishaji katika mkoa wa Dara'a kusini maghairbi mwa nchi hiyo.
-
Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'
Jan 01, 2019 04:46Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.
-
Sualal la wahajiri, ugaidi na hali ya uchumi; changamoto kuu zinazowakabili watu wa Ulaya
Dec 26, 2018 22:56Matokeo ya utafiti mmoja wa maoni uliofanywa barani Ulaya yameonyesha kuwa wahajiri, ugaidi na hali ya kifedha na kiuchumi ni changamoto kuu zitakazozikabili nchi za Ulaya katika mwaka ujao wa 2019.
-
Morocco yawatia nguvuni walioua watalii wa Norway na Denmark
Dec 22, 2018 11:48Serikali ya Morocco imewatia nguvuni watu 9 wanaotuhumiwa kuwa ndio waliwaua wataali wawili wa kike kutoka nchi za Denmark na Norway.
-
Khashoggi na waandishi habari wengine, Watu Mashuhuri mwaka huu
Dec 11, 2018 21:40Jarida la kila wiki la Marekani la Time limemteua mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi kuwa ndiye Mtu Mashuhuri wa Mwaka huu (Person of the Year) wa jarida hilo.