Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Makumi ya watu wenye silaha waangamizwa Algeria

    Makumi ya watu wenye silaha waangamizwa Algeria

    Oct 10, 2017 04:41

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza kuwa, wanajeshi na polisi wa nchi hiyo wameua magaidi 86 kwenye maeneo tofauti ya nchi hiyo katika kipindi cha miezi minane ya kwanza ya mwaka huu.

  • "Sera kuu ya Iran ni kupambana na ugaidi, kutekeleza JCPOA na kuimarisha uhusiano na EU"

    Oct 04, 2017 01:09

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inatoa kipaumbele kwa kadhia ya kupambana na ugaidi pamoja na kudumisha makubaliano ya kihistoria ya nyuklia yanayojulikana kama JCPOA.

  • FBI: Aliyefanya mauaji ya Las Vegas hana uhusiano na magenge ya kigaidi

    FBI: Aliyefanya mauaji ya Las Vegas hana uhusiano na magenge ya kigaidi

    Oct 03, 2017 04:39

    Polisi ya Upelelezi ya Marekani FBI imesema Stephen Paddock, ambaye alitekeleza mauaji ya makumi ya watu katika shambulizi la Las Vegas nchini humo hana uhusiano wowote na magenge ya kigaidi.

  • Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu

    Venezuela: Marekani inafanya 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi yetu

    Sep 26, 2017 04:12

    Venezuela imesema Marekani inaendeleza kile ilichokitaja 'ugaidi wa kisaikolojia' dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

  • Umoja wa Mataifa wataka kustawishwa eneo la Ziwa Chad

    Umoja wa Mataifa wataka kustawishwa eneo la Ziwa Chad

    Sep 23, 2017 08:50

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kuzingatiwa ustawi wa eneo la ziwa Chad kwa ajili ya kupambana vyema na vitendo vya uchupaji mipaka na ugaidi kufuatia kuzidi kuwa mbaya hali ya mambo katika eneo hilo.

  • Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo

    Sep 05, 2017 02:31

    Italia imesema kuna ulazima kwa nchi ya Libya kuwa na uthabiti ili kuzuia ugaidi na kuendesha mapambano dhidi ya tishio hilo.

  • Hizbullah: Tutaendelea kuweko Syria hadi hatari ya magaidi itakapoondoka

    Hizbullah: Tutaendelea kuweko Syria hadi hatari ya magaidi itakapoondoka

    Sep 04, 2017 22:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya mapambano ya Kiislamu ambayo iko Syria kwa ombi la serikali ya nchi hiyo, itabakia nchini humo hadi pale hatari ya ugaidi itakapoondoka.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-1

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-1

    Sep 02, 2017 10:20

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya kwanza ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.

  • Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Aug 26, 2017 22:10

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuangamizwa maficho kadhaa ya magaidi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Russia: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Russia: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Aug 25, 2017 09:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, hatari ya ugaidi nchini Syria ni tishio kwa ulimwengu mzima na kuongeza kwamba, hali ya sasa haihusiani na nchi hiyo ya Kiarabu pekee, bali inajumuisha dunia nzima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS