-
Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa
Aug 21, 2017 22:52Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.
-
Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri
Aug 20, 2017 21:50Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.
-
Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi
Aug 19, 2017 10:21Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa wito kwa nchi zote duniani kushikamana kwa ajili ya kung'oa mizizi ya ugaidi.
-
Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile
Aug 19, 2017 02:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali utendaji wa kindumakuwili wa baadhi ya mataifa kuhusiana na ugaidi.
-
Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso
Aug 14, 2017 07:00Serikali ya Burkina Fasso imetangaza kuwa, zaidi ya watu 18 wameuawa na wengine 8 kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Ouagadougou.
-
Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi
Aug 05, 2017 22:41Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.
-
Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi
Aug 03, 2017 02:56Ugaidi si jambo jipya duniani na wala halikuanza katika siku na miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo inatupasa kusema kuwa, katika miaka ya hivi karibuni ugaidi umekuwa tishio kubwa na la kimataifa.
-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi
Jul 20, 2017 09:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani imetoa ripoti kuhusu hali ya ugaidi duniani ili kwa njia hiyo ipotoshe fikra za waliowengi kuhusu nafasi yake katika kuibua, kueneza na kuunga mkono makundi ya kigaidi.
-
Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi
Jul 20, 2017 03:24Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.