Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Aug 21, 2017 22:52

    Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.

  • Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Matukio ya kigaidi ya Uhispania, kisingizio cha kuzidishwa hatua za kiusalama kukabiliana na wahajiri

    Aug 20, 2017 21:50

    Ripoti mpya ya Shirika la Wahajiri Duniani (IOM) imesema kwamba, idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Uhispania imeongezeka.

  • Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Aug 19, 2017 10:21

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa wito kwa nchi zote duniani kushikamana kwa ajili ya kung'oa mizizi ya ugaidi.

  • Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile

    Dakta Zarif: Ugaidi si nembo ya dini wala kaumu yoyote ile

    Aug 19, 2017 02:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali utendaji wa kindumakuwili wa baadhi ya mataifa kuhusiana na ugaidi.

  • Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso

    Shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso

    Aug 14, 2017 07:00

    Serikali ya Burkina Fasso imetangaza kuwa, zaidi ya watu 18 wameuawa na wengine 8 kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Ouagadougou.

  • Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Aug 05, 2017 22:41

    Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi

    Utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia, susu la ugaidi

    Aug 03, 2017 02:56

    Ugaidi si jambo jipya duniani na wala halikuanza katika siku na miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo inatupasa kusema kuwa, katika miaka ya hivi karibuni ugaidi umekuwa tishio kubwa na la kimataifa.

  • 60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    Jul 23, 2017 09:19

    Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.

  • Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Marekani yajaribu kupotosha dunia kuhusu inavyounga mkono ugaidi

    Jul 20, 2017 09:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani imetoa ripoti kuhusu hali ya ugaidi duniani ili kwa njia hiyo ipotoshe fikra za waliowengi kuhusu nafasi yake katika kuibua, kueneza na kuunga mkono makundi ya kigaidi.

  • Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Jul 20, 2017 03:24

    Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS