Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi

    Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi

    Jul 14, 2017 03:14

    Waziri wa Ulinzi wa Syria amepongeza msaada inaopata nchi yake kutoka Iran, Russia, na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia

    Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia

    Jul 12, 2017 10:14

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misimamo mikali na ugaidi ni hatari kubwa kwa eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima.

  • Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Jul 12, 2017 09:58

    Watu 19 wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa kufuatilia milipuko kadhaa ya mabomu iliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Jul 11, 2017 03:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama na amani ya nchi zote duniani.

  • Viongozi wa Kiislamu Ulaya waanza safari ya kulaani ugaidi

    Viongozi wa Kiislamu Ulaya waanza safari ya kulaani ugaidi

    Jul 08, 2017 22:22

    Makumi ya viongozi wa kidini na maimamu wa Swala za jamaa barani Ulaya wameanza safari ya kutembelea nchi kadhaa za bara hilo wakitokea mtaa mashuhuri wa Champs-Elysees mjini Paris. Viongozi hao wa kidini watatembelea maeneo yaliyokumbwa na mashambulizi ya kigaidi katika miezi ya hivi karibuni.

  • Kukombolewa Benghazi, Khalifa Haftar azidi kujiimarisha

    Kukombolewa Benghazi, Khalifa Haftar azidi kujiimarisha

    Jul 07, 2017 22:20

    Kukombolewa Benghazi, mji wa pili kwa ukubwa wa Libya ambao umekuwa ukikaliwa na makundi ya kigaidi kwa kipindi cha miaka mitatu kumetajwa kuwa huenda kukaimarisha zaidi nafasi na Jenerali Khalifa Haftar na kumkurubisha zaidi kwenye udhibiti na madaraka ya Libya.

  • Hamaki za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia baada ya kukwama siasa zao dhidi ya Qatar

    Hamaki za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia baada ya kukwama siasa zao dhidi ya Qatar

    Jul 07, 2017 01:33

    Adil al Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia ameshindwa kuzuia hamaki zake baada ya Qatar kukataa masharti ya nchi nne za Saudi Arabia, Bahrain, Misri na Imarati na amedai mbele ya waandishi wa habari mjini Cairo Misri kwamba eti uuganji mkono wa Iran kwa Qatar ni kuunga mkono ugaidi.

  • Al Shabab waua Polisi 2 katika hujuma huko Lamu, Kenya

    Al Shabab waua Polisi 2 katika hujuma huko Lamu, Kenya

    Jul 05, 2017 10:08

    Maafisa wawili wa polisi nchini Kenya wameuawa baada ya magaidi wanaoaminika kuwa wa kundi la Al Shabab kushambulia kituo cha polisi katika eneo la Pandanguo katika Kaunti ya Lamu.

  • Israel; hatari kuu ya ulimwengu wa Kiislamu

    Israel; hatari kuu ya ulimwengu wa Kiislamu

    Jun 28, 2017 23:42

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndiyo hatari kuu kwa umma wa Kiislamu na kwamba kitendo cha baadhi ya nchi za Kiislamu cha kuwa na uhusiano na Israel ni hatari kubwa kwa Waislamu.

  • Amani ya kudumu hupatikana kwa ushirikiano si kwa misimamo ya Kidaesh

    Amani ya kudumu hupatikana kwa ushirikiano si kwa misimamo ya Kidaesh

    Jun 27, 2017 08:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, eneo la Ghuba ya Uajemi limekumbwa na matatizo mawili makuu ya kimuundo na kutojitambua. Amesema, baadhi ya nchi za eneo hili zinaona usalama wao utapatikana kwa kununua amani kutoka nje wakati ambapo usalama wa kweli unaweza kupatikana tu kwa ushirikiano wa kieneo na kupitia nchi zenyewe za eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS