Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugonjwa

  • DRC yaangamiza ugonjwa wa meningitis Tshopo

    DRC yaangamiza ugonjwa wa meningitis Tshopo

    Dec 25, 2021 08:42

    Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imetangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis katika jimbo la Tshopo kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo, umetokomezwa.

  • Watu tisa wapoteza maisha kufuatia mlipuko wa kipindupindu DRC

    Watu tisa wapoteza maisha kufuatia mlipuko wa kipindupindu DRC

    Dec 18, 2021 12:57

    Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu umepelekea watu wasiopungua tisa kupoteza maisha katika jimbo la Haut-Lomami, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Maelfu ya watu wakumbwa na tatizo la kuhara baada ya maji ya mto kuchafuka, Kongo

    Maelfu ya watu wakumbwa na tatizo la kuhara baada ya maji ya mto kuchafuka, Kongo

    Sep 01, 2021 02:52

    Maafisa wa afya katikka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameripoti kuwa, maelfu ya watu wamepatwa na tatizo la kuhara katika jimbo la Kasai katikati mwa nchi hiyo baada ya raia kutumia maji machafu na samaki waliokufa kutoka katika ziwa ambalo maji yake yamechafuka.

  • Ivory Coast yarekodi kisa cha kwanza cha Ebola katika miaka 25

    Ivory Coast yarekodi kisa cha kwanza cha Ebola katika miaka 25

    Aug 15, 2021 13:28

    Waziri wa Afya wa Ivory Coast ametangaza kuwa nchi hiyo imesajili kisa cha kwanza cha virusi vya kutokwa na damu vya Ebola ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 25.

  • WHO yahofia vifo zaidi vya kifua kikuu kutokana na kuongezeka maambukizi ya Covid-19

    WHO yahofia vifo zaidi vya kifua kikuu kutokana na kuongezeka maambukizi ya Covid-19

    Oct 15, 2020 11:56

    Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limeonya juu ya "ongezeko kubwa" la vifo vinavyosababishwa na kifua kikuu (TB) katika miaka ijayo, kama matokeo ya matatizo yanayosababishwa na janga la corona na uhaba unaoendelea wa fedha. WHO imesema hayo katika ripoti yake ya kila mwaka juu ya juhudi za ulimwengu za kupambana na ugonjwa huo.

  • Mafundisho ya afya na usafi ya Uislamu, suluhisho la kukabiliana na corona

    Mafundisho ya afya na usafi ya Uislamu, suluhisho la kukabiliana na corona

    Jun 18, 2020 05:41

    Afya na siha ni neema kubwa ya Mwenyezi Mungu ambayo thamani yake huonekana vyema wakati mwanadamu anapopatwa na maradhi.

  • 242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe

    242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe

    Feb 13, 2020 12:06

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na virusi vya Corona (COVID-19) nchini China imeongeza baada ya Jumatano ya jana kusajiliwa vifo vya wahanga 242 wa virusi hivyo katika siku moja tu katika mkoa wa Wuhan na maambikizi ya wengine elfu 15.

  • Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Jan 24, 2020 14:56

    Nchi za Afrika mashariki zimetangaza hatua na mipango ya kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya kupumua huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mlipuko wa virusi hivyo nchini China ikiongezeka na kufikia 26.

  • "Kirusi cha China" chazusha hofu duniani, watu 6 wameaga dunia hadi sasa

    Jan 21, 2020 12:41

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, litafanya kikao kesho Jumatano kutazama uwezekano wa kutangaza tahadhari ya kimataifa ya afya ya umma baada ya China kuthibitisha kwamba, kirusi hicho kinaambukizwa kupitia mawasiliano baina ya binadamu.

  • Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu jeshini Israel yaongezeka

    Nov 09, 2019 07:52

    Idadi ya askari wanaokimbia kuhudumu ndani ya jeshi la utawala haramu wa Kizayuni Israel, imezidi kuongezeka huku suala la matatizo ya kisaikolojia likitajwa kuwa ndio sababu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS