Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugonjwa

  • WHO, UNICEF zatia nia ya kuwalinda na kipindupindu watu milioni 1.6 nchini Sudan

    WHO, UNICEF zatia nia ya kuwalinda na kipindupindu watu milioni 1.6 nchini Sudan

    Oct 02, 2019 11:16

    Shirika la Afya Duniani (WHO) na lile la UNICEF yanashirikiana na maafisa wa Sudan kulinda usalama wa zaidi ya watu milioni moja na nusu kutokana na ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.

  • Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Aug 18, 2019 07:51

    Shirika la Madatari Wasio na Mpaka (MSF) limeripoti kuwa zaidi ya watu 2700 wameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ugonjwa wa surua.

  • Wayemen karibu nusu milioni wanakabiliwa na kipindupindu

    Wayemen karibu nusu milioni wanakabiliwa na kipindupindu

    Jul 09, 2019 08:20

    Wimbi jipya la maradhi ya kipindupindu linashuhudiwa nchini Yemen ambapo kesi zaidi ya 460,000 za maradhi hayo zimeripotiwa kuanzia Januari mwaka huu hadi sasa.

  • WHO: Watu Milioni 50 wanaugua ugonjwa wa kusahau duniani

    WHO: Watu Milioni 50 wanaugua ugonjwa wa kusahau duniani

    May 15, 2019 03:41

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu takriban milioni 50 kote ulimwenguni wanaugua ugonjwa wa kusahau (Dementia) huku idadi hii ikitabiriwa kuongezeka mara tatu ifikapo mwaka 2050.

  • Zaidi ya watu 1000 wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini Msumbiji

    Zaidi ya watu 1000 wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini Msumbiji

    Apr 02, 2019 13:50

    Viongozi wa idara ya Msumbiji wametangaza kwamba zaidi ya watu 1000 wameambukizwa maradhi ya kipindupindu nchini humo.

  • Makumi ya Wayemeni waaga dunia kwa ugonjwa wa dondakoo (Diptheria)

    Makumi ya Wayemeni waaga dunia kwa ugonjwa wa dondakoo (Diptheria)

    Oct 21, 2018 23:21

    Wizara ya Afya ya Yemen imetangaza kuwa tangu mwaka mmoja uliopita hadi sasa watu 141 wameaga dunia kwa ugonjwa wa dondakoo; wengi wakiwa ni watoto wadogo.

  • Seneta Bernie Sanders: Trump ana maradhi ya kusema uongo

    Seneta Bernie Sanders: Trump ana maradhi ya kusema uongo

    Aug 06, 2018 13:05

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani, Bernie Sanders amemkosoa vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwamba, anawahadaa wapiga kura kwa kuwaambia uongo.

  • Nchi za kusini mwa Afrika kushirikiana kupambana na Listeria

    Nchi za kusini mwa Afrika kushirikiana kupambana na Listeria

    Mar 16, 2018 07:23

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi Kusini mwa Afrika (SADC) zimekubaliana kushirikiana kupambana na ugonjwa wa listeriosis ulioibuka nchini Afrika Kusini.

  • Homa ya mafua imeshaua watu 231 nchini Uingereza

    Homa ya mafua imeshaua watu 231 nchini Uingereza

    Feb 02, 2018 08:00

    Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa watu 231 wamefariki dunia nchini humo kutokana na maambukizi ya kirusi cha homa ya mafua.

  • WHO yaonya kuwa usugu wa viuavijasumu (antibiotics) ni tishio duniani

    WHO yaonya kuwa usugu wa viuavijasumu (antibiotics) ni tishio duniani

    Jan 30, 2018 08:01

    Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani WHO kuhusu usugu wa viuavijasumu au antibiotics zinaonyesha kuwa juu sana kiwango cha usugu wa dawa hizo dhidi ya maradhi kadhaa yanayosababishwa na bakteria kote duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS