Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugonjwa

  • Homa ya mafua imeshaua watu 231 nchini Uingereza

    Homa ya mafua imeshaua watu 231 nchini Uingereza

    Feb 02, 2018 08:00

    Gazeti la Daily Mail linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa watu 231 wamefariki dunia nchini humo kutokana na maambukizi ya kirusi cha homa ya mafua.

  • WHO yaonya kuwa usugu wa viuavijasumu (antibiotics) ni tishio duniani

    WHO yaonya kuwa usugu wa viuavijasumu (antibiotics) ni tishio duniani

    Jan 30, 2018 08:01

    Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani WHO kuhusu usugu wa viuavijasumu au antibiotics zinaonyesha kuwa juu sana kiwango cha usugu wa dawa hizo dhidi ya maradhi kadhaa yanayosababishwa na bakteria kote duniani.

  • Muirani avumbua njia ya kuwezesha kutibu ugonjwa wa Mfumo wa Neva (MS)

    Muirani avumbua njia ya kuwezesha kutibu ugonjwa wa Mfumo wa Neva (MS)

    Dec 19, 2017 13:42

    Mwanabiolojia Muirani, kwa mara ya kwanza duniani, amevumbua njia ya kuwezesha kutibu ugonjwa wa Mfumo wa Neva (Multiple Sclerosis) maarufu kama MS.

  • Watoto wa Yemen zaidi ya elfu 50 watapoteza maisha hadi mwishoni mwa mwaka huu wa 2017

    Watoto wa Yemen zaidi ya elfu 50 watapoteza maisha hadi mwishoni mwa mwaka huu wa 2017

    Nov 15, 2017 15:28

    Kundi Moja la Kimataifa la Utoaji Misaada limetahadharisha kuwa hadi kufikia mwisho wa mwaka huu idadi ya watoto wataoaga dunia kwa magonjwa na njaa vilivyosababishwa na vita huko Yemen watafikia zaidi ya elfu 50.

  • UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    UN: Kipindupindu kimeua zaidi ya watu 530 Somalia

    Apr 14, 2017 03:56

    Umoja wa Mataifa na jumuiya za misaada ya kibinadamu zimeonya kwamba kipindupindu kinaenea kwa kasi katika maeneo yaliyoathirika na ukame nchini Somalia wakati nchi hiyo ikiendelea kunyemelewa na hatari kubwa ya baa la njaa.

  • Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Makumi ya watu waaga dunia kwa malaria Zimbabwe

    Mar 28, 2017 03:54

    Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuwa watu wasiopungua 150 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa malaria nchini Zimbabwe katika muda wa miezi miwili iliyopita.

  • Ripoti: Nimonia inaua watoto wengi bara Afrika

    Ripoti: Nimonia inaua watoto wengi bara Afrika

    Nov 12, 2016 07:55

    Asilimia 60 ya vifo milioni 5.9 vya watoto wadogo wenye umri wa chini ya miaka 5 vilivyotokea mwaka jana katika nchi za Afrika na Asia vilitokana na ugonjwa wa kichomi au nimonia.

  • Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Jun 12, 2016 04:30

    Kenya imeteuliwa kuwa makao makuu ya kanda ya Kituo cha Kuratibu Udhibti wa Magonjwa Afrika, CDC-Africa, ili kufuatilia afya ya umma na changamoto katika nchi za Afrika Mashariki.

  • Serikali: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 45 Zanzibar

    Serikali: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 45 Zanzibar

    Apr 28, 2016 15:15

    Wizara ya Afya ya Zanzibar imesema kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa kipindupindu tangu mwezi uliopita wa Machi hadi sasa.

  • Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia

    Kipindupindu chaua watu kadhaa Zambia

    Apr 14, 2016 04:52

    Watu kadhaa wamepoteza maisha kutokana na kusambaa ugonjwa wa kipindupindu katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS