-
Kutia saini mkataba wa kijeshi na Uhispania; kuendelea siasa za kijeshi za Saudi Arabia
Jul 21, 2018 02:34Saudi Arabia imetiliana saini mkataba mpya wa kijeshi na shirika moja la Uhispani ikiwa ni mwendelezo wa mikataba ya kijeshi ya Riyadh na madola ya Magharibi.
-
Jumanne tarehe 12 Juni, 2018
Jun 11, 2018 23:44Leo ni Jumanne tarehe 27 Ramadhani 1439 Hijria sawa na Juni 12, 2018.
-
Alkhamisi tarehe 12 Aprili. 2018
Apr 12, 2018 11:35Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Rajab 1439 Hijria sawa na 123 Aprili 2018.
-
Kutiwa mbaroni Carles Puigdemont na taathira yake ya kisiasa eneo la Catalani, Uhispania
Mar 26, 2018 07:41Huku Carles Puigdemont akikabiliwa na kifungo cha miaka 25 jela iwapo atarejeshwa nchini Uhispania, kukamatwa mwanasiasa huyo kunahesabiwa kuwa ni utangulizi wa kutiwa mbaroni viongozi wengine waliokuwa wanataka kujitenga eneo la Catalani la Uhispania.
-
Iran na Uhispania zasisitiza kupanua zaidi ushirikiano baina yao
Feb 22, 2018 00:58Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uhispania wamesisitiza azma ya nchi zao ya kustawisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina yao.
-
Ethiopia kuwaachia huru maelfu ya wafungwa wa upinzani
Jan 29, 2018 03:23Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa itawaachia huru wafungwa waliotiwa nguvuni kufuatia machafuko ya mwaka 2015 na 2016 yaliyotokea katika eneo la Oromia.
-
Wahajiri wengine 1400 waokolewa katika maji ya pwani ya Italia na Uhispania
Jan 17, 2018 04:29Kikosi cha gadi ya pwani ya Italia kimetangaza kuokoa wahajiri 1400 katika maji ya bahari ya Mediterrania.
-
Ulimwengu wa Michezo, Jan 15
Jan 15, 2018 02:46Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kutupia jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti, yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi.
-
Uhispania yaendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia, zinatumika kuua raia wa Yemen
Dec 28, 2017 08:33Ripoti za Wizara ya Biashara ya Uhispania inaonesha kuwa, katika kipindi cha miezi sita ya mwanzoni mwaka huu wa 2017 serikali ya nchi hiyo imeidhinisha mauzo ya silaha na mizinga yenye thamani ya zaidi ya Euro milioni 141 kwa utawala wa Saudi Arabia.
-
Mahakama Kuu Uhispania: Ole wake Carles Puigdemont asipohudhuria kotini
Nov 03, 2017 00:50Mahakama Kuu ya Uhispania imemuonya rais wa eneo la Catalonia, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo aliyeuzuliwa madarakani kwa kutohudhuria mahakamani.