Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia

    Oct 31, 2017 10:08

    Mahakama ya Katiba nchini Uhispania imebatilisha azimio lililopasishwa na bunge la eneo la Catalonia la kutangaza uhuru wa eneo hilo Ijumaa iliyopita.

  • Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake

    Oct 27, 2017 23:07

    Bunge la eneo la Catalonia nchini Uhispania limeupigia kura ya 'ndiyo' mpango wa kujitangazia uhuru rasmi na kujitenga na Uhispania huku Baraza la Seneti la serikali kuu ya Madrid likipitisha uamuzi unaoruhusu kulinyang'anya eneo hilo mamlaka liliyokuwa nayo ya kujiendeshea mambo yake.

  • Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia

    Oct 24, 2017 01:14

    Mrengo unaotaka kujitenga eneo la Catalonia nchini Uhispania, umetangaza kuwa ikiwa serikali kuu ya nchi hiyo itamuuzulu kiongozi wao, basi utaanzisha uasi wa kiraia.

  • Jumapili, Oktoba 22, 2017

    Jumapili, Oktoba 22, 2017

    Oct 21, 2017 23:38

    Leo ni Jumapili tarehe pili Swafar Mfungo tano 1439 Hijria, mwafaka na tarehe 22 Oktoba 2017 Miladia.

  • Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia

    Oct 17, 2017 23:19

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania imetangaza kuwa kura ya maoni ya kujitenga eneo la Catalonia haikuwa halali.

  • Jumatano tarehe 18 Oktoba, 2017

    Jumatano tarehe 18 Oktoba, 2017

    Oct 17, 2017 23:17

    Leo ni Jumatano tarehe 27 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 18, 2017

  • Alkhamisi tarehe 12 Oktoba, 2017

    Alkhamisi tarehe 12 Oktoba, 2017

    Oct 11, 2017 23:15

    Leo ni Alkhamisi tarehe 21 Muharram 1439 Hijria, sawa na tarehe 12 Oktoba mwaka 2017.

  • Mahakama ya Katiba Uhispania yafuta kikao cha Bunge la Catalonia

    Mahakama ya Katiba Uhispania yafuta kikao cha Bunge la Catalonia

    Oct 06, 2017 00:38

    Mahakama ya Katiba ya Uhispania imefuta kikao kilichokuwa kimepangwa kufanywa na Bunge la eneo la Catalonia kwa ajili ya kutangaza rasmi kujitenga eneo hilo.

  • Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa

    Aug 21, 2017 22:52

    Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.

  • Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania

    Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania

    Aug 21, 2017 03:46

    Vituo viwili vya Kiislamu vimeshambuliwa na kundi la watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu nchini Uhispania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS