-
Mahakama ya Uhispania yatengua 'uhuru' wa Catalonia
Oct 31, 2017 10:08Mahakama ya Katiba nchini Uhispania imebatilisha azimio lililopasishwa na bunge la eneo la Catalonia la kutangaza uhuru wa eneo hilo Ijumaa iliyopita.
-
Catalonia yajitangazia rasmi uhuru wake, Uhispania yaivua mamlaka ya kujiendeshea mambo yake
Oct 27, 2017 23:07Bunge la eneo la Catalonia nchini Uhispania limeupigia kura ya 'ndiyo' mpango wa kujitangazia uhuru rasmi na kujitenga na Uhispania huku Baraza la Seneti la serikali kuu ya Madrid likipitisha uamuzi unaoruhusu kulinyang'anya eneo hilo mamlaka liliyokuwa nayo ya kujiendeshea mambo yake.
-
Catalonia: Ikiwa rais wetu atauzuliwa na serikali ya Uhispania, tutafanya uasi wa kiraia
Oct 24, 2017 01:14Mrengo unaotaka kujitenga eneo la Catalonia nchini Uhispania, umetangaza kuwa ikiwa serikali kuu ya nchi hiyo itamuuzulu kiongozi wao, basi utaanzisha uasi wa kiraia.
-
Jumapili, Oktoba 22, 2017
Oct 21, 2017 23:38Leo ni Jumapili tarehe pili Swafar Mfungo tano 1439 Hijria, mwafaka na tarehe 22 Oktoba 2017 Miladia.
-
Mahakama ya Katiba ya Uhispania yapinga kura ya maoni ya kujitenga Catalonia
Oct 17, 2017 23:19Mahakama ya Katiba ya Uhispania imetangaza kuwa kura ya maoni ya kujitenga eneo la Catalonia haikuwa halali.
-
Jumatano tarehe 18 Oktoba, 2017
Oct 17, 2017 23:17Leo ni Jumatano tarehe 27 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 18, 2017
-
Alkhamisi tarehe 12 Oktoba, 2017
Oct 11, 2017 23:15Leo ni Alkhamisi tarehe 21 Muharram 1439 Hijria, sawa na tarehe 12 Oktoba mwaka 2017.
-
Mahakama ya Katiba Uhispania yafuta kikao cha Bunge la Catalonia
Oct 06, 2017 00:38Mahakama ya Katiba ya Uhispania imefuta kikao kilichokuwa kimepangwa kufanywa na Bunge la eneo la Catalonia kwa ajili ya kutangaza rasmi kujitenga eneo hilo.
-
Mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi Barcelona auawa
Aug 21, 2017 22:52Polisi ya Uhispania imemuua Younes Abouyaaqoub aliyetekeza shambulio la kigaidi la Alkhamisi wiki iliyopita katika mji wa Barcelona.
-
Vituo viwili vya Kiislamu vyashambuliwa na kundi lenye chuki za kidini Uhispania
Aug 21, 2017 03:46Vituo viwili vya Kiislamu vimeshambuliwa na kundi la watu wenye chuki dhidi ya dini ya Kiislamu nchini Uhispania.