-
Rais Samia azijibu balozi za Ulaya: Tanzania ni nchi huru, isielekezwe cha kufanya katika mambo yake
Sep 18, 2024 02:33Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amejibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini humo, yaliyotaka ufanyike uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu akisema, Tanzania ni nchi huru, hivyo haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake.
-
Jumatano, tarehe 17 Julai, 2024
Jul 16, 2024 22:55Leo ni Jumatano tarehe 11 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria, sawa na tarehe 17 Julai mwaka 2024.
-
Jumatatu, 15 Julai, 2024
Jul 14, 2024 23:23Leo ni Tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Julai mwaka 2024.
-
Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza
Jul 12, 2024 07:58Waziri Mkuu wa Uhispania ametoa wito kwa wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kuheshimu sheria za kimataifa kwa kiwango sawa kuhusiana na Gaza na Ukraine bila "kutumia misimamo na sera za kindumakuwili".
-
Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2024
Jul 04, 2024 22:48Leo ni Ijumaa tarehe 28 Dhulhija 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 5 Julai mwaka 2024.
-
Jumapili, 23 Juni, 2024
Jun 22, 2024 23:13Leo nii Jumapili 16 Mfunguo Tatu Dhul-Hiija 1445 Hijria sawa na 23 Juni 2024 Miladia.
-
Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina
Jun 14, 2024 04:02Pedro Sanchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameyataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi na dola huru.
-
Uhispania yajiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel
Jun 06, 2024 23:15Siku chache baada ya Uhispania kutangaza kulitambua rasmi taifa la Palestina, nchi hiyo ya Ulaya imetuma ombi la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya binadamu huko Gaza.
-
Uhispania, Ireland na Norway zaitambua rasmi Palestina
May 29, 2024 00:17Uhispania, Ireland na Norway jana zilipasisha rasmi mpango wa kutambua rasmi Palestina, katika uamuzi ulioratibiwa hatua ambayo imeongeza himaya na uungaji mkono kwa Palestina barani Ulaya.
-
Makundi ya Muqawama yatoa tamko kuhusu uamuzi wa nchi za Ulaya kuitambua nchi ya Palestina
May 24, 2024 06:50Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa mjibizo kwa utayarifu uliotangazwa na nchi kadhaa za Ulaya wa kuitambua nchi huru ya Palestina kwa kueleza kwamba hatua hiyo ni mabadiliko makubwa katika msimamo wa nchi mbalimbali duniani katika kuunga mkono piganio tukufu la taifa la Palestina.