Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Rais Samia azijibu balozi za Ulaya: Tanzania ni nchi huru, isielekezwe cha kufanya katika mambo yake

    Rais Samia azijibu balozi za Ulaya: Tanzania ni nchi huru, isielekezwe cha kufanya katika mambo yake

    Sep 18, 2024 02:33

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amejibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini humo, yaliyotaka ufanyike uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu akisema, Tanzania ni nchi huru, hivyo haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake.

  • Jumatano, tarehe 17 Julai, 2024

    Jumatano, tarehe 17 Julai, 2024

    Jul 16, 2024 22:55

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria, sawa na tarehe 17 Julai mwaka 2024.

  • Jumatatu, 15 Julai, 2024

    Jumatatu, 15 Julai, 2024

    Jul 14, 2024 23:23

    Leo ni Tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 15 Julai mwaka 2024.

  • Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Jul 12, 2024 07:58

    Waziri Mkuu wa Uhispania ametoa wito kwa wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kuheshimu sheria za kimataifa kwa kiwango sawa kuhusiana na Gaza na Ukraine bila "kutumia misimamo na sera za kindumakuwili".

  • Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2024

    Ijumaa, tarehe 5 Julai, 2024

    Jul 04, 2024 22:48

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Dhulhija 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 5 Julai mwaka 2024.

  • Jumapili, 23 Juni, 2024

    Jumapili, 23 Juni, 2024

    Jun 22, 2024 23:13

    Leo nii Jumapili 16 Mfunguo Tatu Dhul-Hiija 1445 Hijria sawa na 23 Juni 2024 Miladia.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Waziri Mkuu wa Uhispania ayataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina

    Jun 14, 2024 04:02

    Pedro Sanchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameyataka mataifa ya Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi na dola huru.

  • Uhispania yajiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Uhispania yajiunga na kesi ya Afrika Kusini ICJ dhidi ya Israel

    Jun 06, 2024 23:15

    Siku chache baada ya Uhispania kutangaza kulitambua rasmi taifa la Palestina, nchi hiyo ya Ulaya imetuma ombi la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya binadamu huko Gaza.

  • Uhispania, Ireland na Norway zaitambua rasmi Palestina

    Uhispania, Ireland na Norway zaitambua rasmi Palestina

    May 29, 2024 00:17

    Uhispania, Ireland na Norway jana zilipasisha rasmi mpango wa kutambua rasmi Palestina, katika uamuzi ulioratibiwa hatua ambayo imeongeza himaya na uungaji mkono kwa Palestina barani Ulaya.

  • Makundi ya Muqawama yatoa tamko kuhusu uamuzi wa nchi za Ulaya kuitambua nchi ya Palestina

    Makundi ya Muqawama yatoa tamko kuhusu uamuzi wa nchi za Ulaya kuitambua nchi ya Palestina

    May 24, 2024 06:50

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa mjibizo kwa utayarifu uliotangazwa na nchi kadhaa za Ulaya wa kuitambua nchi huru ya Palestina kwa kueleza kwamba hatua hiyo ni mabadiliko makubwa katika msimamo wa nchi mbalimbali duniani katika kuunga mkono piganio tukufu la taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS