Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Ubalozi wa Iran Uhispania: Kuendelea kudhalilishwa Qur'ani Tukufu ni jinai ya kiutamaduni

    Aug 02, 2023 11:09

    Ubalozi wa Iran nchini Uhispania umelaani kitendo cha Qur'ani Tukufu kuendelea kuvunjiwa heshima na kukitaja kuwa jinai ya kiutamaduni ambapo pia umekosoa misimamo dhaifu ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na suala hilo.

  • Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    Fedheha ya ubaguzi wa rangi katika mchezo wa soka barani Ulaya

    May 26, 2023 01:48

    Ubaguzi wa rangi ni silaha ya tangu na tangu, ambayo siku hizi, na licha ya kauli mbiu zote za kuwepo usawa baina ya watu wote na haki za binadamu kwa wote, ingali inatumiwa katika Ulimwengu wa Magharibi dhidi ya watu weusi na wasio Wazungu. Siku hizi katika nchi za Magharibi, watu wa rangi zingine hasa weusi, hawana hadhi sawa na weupe, licha ya wanavyojituma na michango mingi mno wanayotoa.

  • Jumatano, 12 Aprili, 2023

    Jumatano, 12 Aprili, 2023

    Apr 12, 2023 02:06

    Leo ni Jumatano tarehe 21 Ramadhani 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Aprili 2023.

  • Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Meya wa Barcelona avunja uhusiano na Israel, aitetea Palestina

    Feb 10, 2023 02:25

    Jiji la Barcelona la kaskazini mashariki mwa Uhispania limetangaza kusimamisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel.

  • Jumatano tarehe 12 Oktoba 2022

    Jumatano tarehe 12 Oktoba 2022

    Oct 12, 2022 02:37

    Leo ni Jumatano tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Oktoba 2022.

  • Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Ukame watishia kuzuka mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Uhispania

    Aug 14, 2022 02:28

    Ukame unaendelea kusini mwa nchi ya Ulaya ya Uhispania. Ukame huo umepelekea kukauka maji katika maeneo hayo, njaa na kupungua kipato cha wakazi wake ambao wanategemea sana kilimo na utalii. Ukame huo umezusha wasiwasi pia wa kutokea vita vya ndani baina ya jamii za watu mbalimbali wa nchi hiyo.

  • Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Jul 30, 2022 09:30

    Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.

  • Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Joto kali laua watu zaidi ya 2000 Uhispania na Ureno

    Jul 22, 2022 13:07

    Watu zaidi ya 2000 wamepoteza maisha huko Ushipania na Ureno katika wiki za karibuni kufuatia joto kali lililovunja rekodi likiambatana na moto mkubwa wa misituni ambao umelazimisha maelfu ya watu kuzihama nyumba zao.

  • Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Joto kali limeua watu 500 nchini Uhispania

    Jul 21, 2022 04:19

    Waziri mkuu wa Uhispania amesema zaidi ya watu 500 wamepoteza maisha nchini humo wakati wa wimbi la joto la siku 10 huku bara lote la Ulaya likiendelea kupata hasara kubwa kutokana na joto kali ambalo limevunja rekodi mwaka huu.

  • Waziri Mkuu Uhispania: Morocco inapaswa kulaumiwa kwa maafa ya wahajiri wa Kiafrika, Melilla

    Waziri Mkuu Uhispania: Morocco inapaswa kulaumiwa kwa maafa ya wahajiri wa Kiafrika, Melilla

    Jul 04, 2022 14:09

    Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba mkasa wa wahajiri wa Kiafrika katika eneo la Melilla unapaswa kuchunguzwa nchini Morocco na kwamba ni serikali ya Rabat ambayo inapaswa kuwajibika katika suala hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS