Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Jumatatu tarehe 12 Oktoba 2020

    Jumatatu tarehe 12 Oktoba 2020

    Oct 12, 2020 03:06

    Leo ni Jumatatu tarehe 24 Saffar 1442 Hijria sawa na Oktoba 12 mwaka 2020.

  • Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Aug 04, 2020 08:03

    Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.

  • Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020

    May 08, 2020 01:31

    Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.

  • Jumapili Aprili-12

    Jumapili Aprili-12

    Apr 12, 2020 04:25

    Leo ni Jumapili, tarehe 18 Sha’ban mwaka 1441 Hijria, sawa na tarehe 12 Aprili, 2020 Miladia.

  • Jumatatu 6 Aprili 2020

    Jumatatu 6 Aprili 2020

    Apr 06, 2020 02:31

    Leo ni Jumatatu tarehe 12 Shaabani 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 6 Aprili mwaka 2020.

  • Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Jan 09, 2020 12:22

    Uhispania imewaondoa baadhi ya wanajeshi wake huko Iraq na kuwahamishia Kuwait kufuatia jinai ya karibuni ya Marekani na kushtadi mivutano katika eneo la Asia Magharibi. Uhispania imesema imefanya hivyo kwa kuhofia usalama wa wanajeshi wake.

  • Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Oct 18, 2019 07:35

    Ghasia zimeendelea katika mji wa Barcelona nchini Uhispania ambapo Alhamisi jioni migahawa iliteketezwa moto baada ya maelfu kuandamana kwa amani mchana wakitaka viongozi wa eneo linalotaka kujitenga la Catalonia waachiliwe huru.

  • Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Aug 03, 2019 01:25

    Serikali ya Uhispania imepinga ombi la Washington la kuitaka ijiunge na mungano wake wa baharini katika Ghuba ya Uajemi.

  • Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Jul 05, 2019 06:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania amefafanua habari mpya inayohusiana na hatua ya kusimamishwa meli iliyokuwa imebeba mafuta ya Iran katika eneo la Jabal at-Twariq (Gibraltar).

  • Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Jul 04, 2019 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Iran haujavunja vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kimsingi hilo ni suala la kiufundi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS