-
Jumatatu tarehe 12 Aprili mwaka 2021
Apr 11, 2021 22:20Leo ni Jumatatu tarehe 29 Shaabani 1442 Hijria sawa na Aprili 12 mwaka 2021.
-
Baada ya kuchanjwa Pfizer, wazee 78 Uhispania waambukizwa corona, kadhaa kati yao wafariki dunia
Feb 02, 2021 04:34Wakazi wote wa nyumba moja ya matunzo kwa wazee nchini Uhispania wameambukizwa virusi vya corona baada ya kupigwa chanjo ya Pfizer na kadhaa miongoni mwao wamefariki dunia.
-
Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha
Jan 25, 2021 09:04Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Uhispania Jenerali Miguel Angel Villaroya amejiuzulu wadhifa wake kufuatia sakata la kupatiwa chanjo ya corona wakati hayumo kwenye orodha ya watu wenye kipaumbele cha kupatiwa chanjo hiyo.
-
Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno
Jan 06, 2021 01:12Maafisa wa afya nchini Ureno wanachunguza kisa cha kufariki dunia ghafla muuguzi mmoja, saa 48 baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga dhidi ya virusi vya corona.
-
Jumatatu tarehe 12 Oktoba 2020
Oct 11, 2020 23:36Leo ni Jumatatu tarehe 24 Saffar 1442 Hijria sawa na Oktoba 12 mwaka 2020.
-
Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia
Aug 04, 2020 03:33Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.
-
Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020
May 07, 2020 21:01Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.
-
Jumapili Aprili-12
Apr 11, 2020 23:55Leo ni Jumapili, tarehe 18 Sha’ban mwaka 1441 Hijria, sawa na tarehe 12 Aprili, 2020 Miladia.
-
Jumatatu 6 Aprili 2020
Apr 05, 2020 22:01Leo ni Jumatatu tarehe 12 Shaabani 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 6 Aprili mwaka 2020.
-
Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait
Jan 09, 2020 08:52Uhispania imewaondoa baadhi ya wanajeshi wake huko Iraq na kuwahamishia Kuwait kufuatia jinai ya karibuni ya Marekani na kushtadi mivutano katika eneo la Asia Magharibi. Uhispania imesema imefanya hivyo kwa kuhofia usalama wa wanajeshi wake.