-
Bunge la Kiarabu laiunga mkono Morocco katika hitilafu zake na Uhispania
Jun 27, 2021 22:02Bunge za Nchi za Kiarabu limetangaza katika taarifa yake kuwa linaiunga mkono Morocco kuhusu hitilafu zilizojitokeza kati ya nchi hiyo na Uhispania.
-
Ijumaa, Mei 7, 2021
May 06, 2021 21:48Leo ni Ijumaa tarehe 24 Ramadhani mwaka 1442 Hijria sawa na tarehe 7 Mei mwaka 2021
-
Maiti 17 za wahajiri wa Kiafrika zapatikana katika kisiwa cha Uhispania
Apr 27, 2021 08:28Miili 17 ya wahajiri wa Kiafrika imepatikana katika mji wa pwani wa El Hierro, ulioko katika moja ya visiwa vya Canary vya Uhispania.
-
Jumatatu tarehe 12 Aprili mwaka 2021
Apr 11, 2021 22:20Leo ni Jumatatu tarehe 29 Shaabani 1442 Hijria sawa na Aprili 12 mwaka 2021.
-
Baada ya kuchanjwa Pfizer, wazee 78 Uhispania waambukizwa corona, kadhaa kati yao wafariki dunia
Feb 02, 2021 04:34Wakazi wote wa nyumba moja ya matunzo kwa wazee nchini Uhispania wameambukizwa virusi vya corona baada ya kupigwa chanjo ya Pfizer na kadhaa miongoni mwao wamefariki dunia.
-
Mkuu wa majeshi Uhispania ajiuzulu kwa kudunga chanjo ya corona bila kuwemo kwenye orodha
Jan 25, 2021 09:04Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Uhispania Jenerali Miguel Angel Villaroya amejiuzulu wadhifa wake kufuatia sakata la kupatiwa chanjo ya corona wakati hayumo kwenye orodha ya watu wenye kipaumbele cha kupatiwa chanjo hiyo.
-
Muuguzi aaga dunia siku 2 baada ya kupewa chanjo ya Covid-19 Ureno
Jan 06, 2021 01:12Maafisa wa afya nchini Ureno wanachunguza kisa cha kufariki dunia ghafla muuguzi mmoja, saa 48 baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga dhidi ya virusi vya corona.
-
Jumatatu tarehe 12 Oktoba 2020
Oct 11, 2020 23:36Leo ni Jumatatu tarehe 24 Saffar 1442 Hijria sawa na Oktoba 12 mwaka 2020.
-
Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia
Aug 04, 2020 03:33Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.
-
Alkhamisi, tarehe 7 Mei, 2020
May 07, 2020 21:01Leo ni tarehe 13 Ramadhani 1441 Hijria sawa na Mei 7 mwaka 2020.