Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Jumapili Aprili-12

    Jumapili Aprili-12

    Apr 11, 2020 23:55

    Leo ni Jumapili, tarehe 18 Sha’ban mwaka 1441 Hijria, sawa na tarehe 12 Aprili, 2020 Miladia.

  • Jumatatu 6 Aprili 2020

    Jumatatu 6 Aprili 2020

    Apr 05, 2020 22:01

    Leo ni Jumatatu tarehe 12 Shaabani 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 6 Aprili mwaka 2020.

  • Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Uhispania yahamisha wanajeshi wake kutoka Iraq na kuwapeleka Kuwait

    Jan 09, 2020 08:52

    Uhispania imewaondoa baadhi ya wanajeshi wake huko Iraq na kuwahamishia Kuwait kufuatia jinai ya karibuni ya Marekani na kushtadi mivutano katika eneo la Asia Magharibi. Uhispania imesema imefanya hivyo kwa kuhofia usalama wa wanajeshi wake.

  • Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Ghasia zaendelea Barcelona katika maandamano ya watu wa Catalonia

    Oct 18, 2019 04:05

    Ghasia zimeendelea katika mji wa Barcelona nchini Uhispania ambapo Alhamisi jioni migahawa iliteketezwa moto baada ya maelfu kuandamana kwa amani mchana wakitaka viongozi wa eneo linalotaka kujitenga la Catalonia waachiliwe huru.

  • Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Uhispania yapinga ombi la Marekani la kujiunga na muungano wake wa baharini Ghuba ya Uajemi

    Aug 02, 2019 20:55

    Serikali ya Uhispania imepinga ombi la Washington la kuitaka ijiunge na mungano wake wa baharini katika Ghuba ya Uajemi.

  • Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Kufichuliwa nafasi ya Marekani katika kusimamishwa meli ya mafuta ya Iran

    Jul 05, 2019 02:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania amefafanua habari mpya inayohusiana na hatua ya kusimamishwa meli iliyokuwa imebeba mafuta ya Iran katika eneo la Jabal at-Twariq (Gibraltar).

  • Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Uhispania: Iran haijavunja hata mara moja mapatano ya JCPOA

    Jul 03, 2019 22:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Iran haujavunja vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kimsingi hilo ni suala la kiufundi.

  • Jumanne, Mei 7, 2019

    Jumanne, Mei 7, 2019

    May 06, 2019 23:43

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Mei, 2019 Milaadia.

  • Ijumaa, tarehe 12 Aprili, 2019

    Ijumaa, tarehe 12 Aprili, 2019

    Apr 11, 2019 23:57

    Leo ni Ijumaa tarehe 6 Sha'aban mwaka 1440 Hijiria, sawa na tarehe 12 Aprili 2019 Miladia.

  • Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Mar 11, 2019 04:51

    Vyombo vya habari nchini Uhispania vimetangaza kwamba, kuna uwezekano vyombo vya intelejensia vya Marekani vilihusika katika shambulizi la siku chache zilizopita dhidi ya ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS