-
Jumanne, Mei 7, 2019
May 07, 2019 04:13Leo ni Jumanne tarehe Mosi Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Mei, 2019 Milaadia.
-
Ijumaa, tarehe 12 Aprili, 2019
Apr 12, 2019 04:27Leo ni Ijumaa tarehe 6 Sha'aban mwaka 1440 Hijiria, sawa na tarehe 12 Aprili 2019 Miladia.
-
Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani
Mar 11, 2019 08:21Vyombo vya habari nchini Uhispania vimetangaza kwamba, kuna uwezekano vyombo vya intelejensia vya Marekani vilihusika katika shambulizi la siku chache zilizopita dhidi ya ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid.
-
Uhispania yapinga kutumwa nchini Syria wanajeshi wa muungano wa Nato
Feb 18, 2019 02:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amepinga ombi la Marekani kwa nchi wanachama wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kwa ajili ya kutumwa wanajeshi wa nchi hizo huko Syria.
-
Jumanne, tarehe 15, Januari 2019
Jan 15, 2019 02:43Leo ni Jumanne tarehe 8 Jamadi Awwal 1440 Hijria sawa na 15 Januari 2019.
-
Tume ya Uchaguzi: Mshindi wa urais Madagascar ni Andry Rajoelina
Dec 28, 2018 03:21Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Madagascar imetangaza kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina ndiye aliyepata kura nyingi zaidi katika uchaguzi wa urais wa Desemba 19, na hivyo ndiye rais wa baadaye wa kisiwa hicho kikubwa zaidi barani Afrika.
-
Nduli wa mauaji ya Waislamu CAR apandishwa kizimbani ICC
Nov 24, 2018 02:46Alfred Yakatom, ambaye wakati fulani alijulikana kwa jina la Rambo kutokana na kufanya mauaji makubwa dhidi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC akikabiliwa na mashtaka 14 ya jinai za kivita na jinai dhidi ya ubinadamu.
-
Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina
Oct 01, 2018 02:39Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa mno na hatua ya klabu mashuhuri ya soka ya Uhispania ya Real Madrid kumuenzi kwa kumtunuku jezi nambari 9 Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina.
-
Mamia ya wahajiri waokolewa katika maji ya Uhispania
Sep 24, 2018 08:08Jumuiya ya Misaada ya Uokoaji wa Baharini ya Hispania imetangaza kuwa, zaidi ya wahajiri 440 waliokuwa mbioni kuvuka Bahari ya Mediterrania na kuingia barani ulaya wameokolewa majini.
-
Amnesty International yaitaka Uhispania isishirikiane na Saudi Arabia katika jinai zake nchini Yemen
Sep 18, 2018 03:58Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Uhispania iache kuiuzia silaha Saudi Arabia ili isitangazwe kuwa mmoja wa washirika wa utawala wa Aal Saud katika jinai za kivita huko nchini Yemen.