Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uhusiano

  • Misri yalalamikia hatua ya Italia ya kukata ushirikiano wake na Cairo

    Misri yalalamikia hatua ya Italia ya kukata ushirikiano wake na Cairo

    Jul 07, 2016 02:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imeelezea kusikitishwa kwake na hatua ya Italia ya kusimamisha ushirikiano wake na Cairo.

  • Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    May 10, 2016 00:19

    Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.

  • Kushtadi lawama na ukosoaji kwa uhusiano wa Marekani na Saudia

    Kushtadi lawama na ukosoaji kwa uhusiano wa Marekani na Saudia

    Apr 20, 2016 03:22

    Rais Barack Obama wa Marekani anaelekea Saudi Arabia leo kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo huku lawama na ukosoaji ukiwa umeshtadi kwa uhusiano baina ya Washington na Riyadh.

  • Maingiliano ya Marekani na Iran  mwaka mmoja uliopita

    Maingiliano ya Marekani na Iran mwaka mmoja uliopita

    Mar 30, 2016 02:10

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii itakayoangazia kwa kifupi maingiliano baina ya Iran na Marekani katika mwaka uliopita wa 1394 Hijria Shamsia.

  • Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari

    Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari

    Mar 27, 2016 22:31

    Chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD kimemtuhumu Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa anataka "kusafirisha" mauaji ya kimbari, huku uhusiano kati ya nchi mbili hizo jirani ukizidi kuharibika.

  • Mvutano katika uhusiano wa Morocco na Umoja wa Mataifa

    Mvutano katika uhusiano wa Morocco na Umoja wa Mataifa

    Mar 24, 2016 03:17

    Baada ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon kuuelezea uwepo wa vikosi vya Morocco katika eneo la Sahara Magharibi kuwa ni "ukaliaji wa mabavu", mivutano na mikwaruzano katika uhusiano wa umoja huo na Morocco imeongezeka kufikia hadi Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa, kwa wito wa serikali ya Rabat, imefunga ofisi yake ya mawasiliano ya kijeshi katika eneo la Sahara Magharibi na kuwaondoa waangalizi watatu wa kijeshi waliokuwepo katika ofisi hiyo.

  • Iran na New Zealand kustawisha ushirikiano

    Iran na New Zealand kustawisha ushirikiano

    Mar 13, 2016 13:03

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na New Zealand wamesisitizia umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili haswa katika uga wa kiuchumi.

  • Zarif: Uhusiano wa Iran na Oman unastawi katika nyanja zote

    Zarif: Uhusiano wa Iran na Oman unastawi katika nyanja zote

    Feb 20, 2016 10:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Oman unaendelea kustawi katika nyanja zote.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS