Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Lancet: Wapalestina waliouawa Gaza wanapindukia 186,000

    Lancet: Wapalestina waliouawa Gaza wanapindukia 186,000

    Jul 09, 2024 03:35

    Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet la Uingereza limeripoti kuwa, yumkini idadi halisi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza inazidi watu 186,000.

  • Matokeo ya miezi 9 ya mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Matokeo ya miezi 9 ya mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Jul 04, 2024 22:38

    Vita vya mauaji ya kizazi vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemaliza mwezi wake wa tisa na kuiingia katika mwezi wa kumi kutokana na uzembe wa jamii ya kimataifa wa kutofanya lolote la maana kwa ajili ya kusimamisha mauaji hayo.

  • Ijumaa, 28 Juni, 2024

    Ijumaa, 28 Juni, 2024

    Jun 27, 2024 23:44

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria sawa na Juni 28 mwaka 2024.

  • Waziri Mkuu: Norway kupokea wagonjwa kutoka Gaza

    Waziri Mkuu: Norway kupokea wagonjwa kutoka Gaza

    Jun 27, 2024 09:10

    Jonas Gahr Store Waziri Mkuu wa Norway amethibitisha leo kuwa nchi hiyo itawapokea na kuwatibu Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza. Amesema Norway itashiriki katika juhudi za kimataifa za kuwasaidia Wapalestina ambao matibabu haraka iwezekanavyo.

  • Israel yashambulia tena Nuseirat, Wapalestina 17 wauawa shahidi

    Israel yashambulia tena Nuseirat, Wapalestina 17 wauawa shahidi

    Jun 18, 2024 03:36

    Kwa mara nyingine tena, askari wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mashambulio ya kikatili kwenye kambi ya wakimbizi ya Nuseirat na kuua shahidi na kujeruhi makumi ya Wapalestina.

  • HAMAS: Blinken amevuruga juhudi za usitishaji vita Gaza

    HAMAS: Blinken amevuruga juhudi za usitishaji vita Gaza

    Jun 13, 2024 04:11

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken anabeba dhima ya kutofikiwa makubaliano tarajiwa ya kusitisha vita katika Ukanda wa Gaza.

  • UN: Watoto 3,000 katika hatari ya kupoteza maisha kwa utapiamlo Gaza

    UN: Watoto 3,000 katika hatari ya kupoteza maisha kwa utapiamlo Gaza

    Jun 13, 2024 04:08

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeonya kuwa, takriban watoto 3,000 wa Kipalestina wapo katika ncha ya kuaga dunia mbele ya jamaa zao kwa kukosa matibabu ya utapiamlo wa kiwango cha juu kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Makumi wauawa shahidi Gaza katika hujuma za anga za Israel

    Makumi wauawa shahidi Gaza katika hujuma za anga za Israel

    Jun 03, 2024 07:58

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya mashambulizi ya anga katika maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza zikiwemo kambi za wakimbizi na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.

  • Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Jun 03, 2024 07:57

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine amemshambulia vikali kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu na kumtaja kama mtu mwenye kiu ya kumwaga na kufyonza damu.

  • IFRC yataka Israel isitishe mashambulizi katika Ukanda wa Gaza

    IFRC yataka Israel isitishe mashambulizi katika Ukanda wa Gaza

    May 30, 2024 03:38

    Mtandao mkubwa zaidi wa misaada ya kibinadamu duniani umesisitizia udharura wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza, eneo ambalo mamilioni ya Wapalestina wanakabiliwa na baa la njaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS