Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • HAMAS: Tony Blair 'ndugu wa shetani' ni wa kupandishwa kizimbani, si wa kuiongoza Ghaza

    HAMAS: Tony Blair 'ndugu wa shetani' ni wa kupandishwa kizimbani, si wa kuiongoza Ghaza

    Sep 29, 2025 07:16

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango ulioripotiwa kuwa umeandaliwa na Marekani wa kumteua waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair awe liwali wa Ukanda wa Ghaza, na kusisitiza kwamba watu wa Palestina wanao uwezo wa kusimamia mambo yao wenyewe.

  • Ripoti: Tony Blair apendekezwa kuwa Mkuu wa Mamlaka ya Mpito ya uendeshaji wa Ghaza baada ya vita

    Ripoti: Tony Blair apendekezwa kuwa Mkuu wa Mamlaka ya Mpito ya uendeshaji wa Ghaza baada ya vita

    Sep 26, 2025 22:53

    Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair yuko kwenye majadiliano ya kuongoza mamlaka ya mpito katika Ukanda wa Ghaza, ikiwa ni sehemu ya mpango unaoungwa mkono na Marekani wa utawala utakaoendesha eneo hilo la ardhi ya Palestina baada ya kuhitimishwa vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa hivi sasa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel.

  • White House: Trump atakutana na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza

    White House: Trump atakutana na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza

    Sep 23, 2025 03:27

    Msemaji wa ikulu ya White House Karoline Leavitt ametangaza kuwa rais wa Marekani Donald Trump anatazamiwa kufanya mkutano na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kujadili kadhia ya Ghaza.

  • Jihadul-Islami: US na Magharibi hazitaki vita Ghaza vikomeshwe mpaka makundi yote ya Muqawama yaangamizwe

    Jihadul-Islami: US na Magharibi hazitaki vita Ghaza vikomeshwe mpaka makundi yote ya Muqawama yaangamizwe

    Sep 23, 2025 03:00

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema, hakuna mapendekezo mapya ya kusitisha vita Ghaza ambayo yamepokelewa hadi sasa na kuongeza kuwa, Marekani na nchi za Magharibi hazitaki kukomesha vita hivyo hadi pale makundi yote ya Muqawama yanayoupinga utawala wa kizayuni wa Israel, -na si Palestina pekee- bali katika eneo lote, yatakapotokomezwa.

  • Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Hali ya Ghaza haikubaliki, vita lazima vikome

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Hali ya Ghaza haikubaliki, vita lazima vikome

    Sep 23, 2025 03:00

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Annalena Baerbock ameuambia mkutano wa suluhisho la mataifa mawili uliofanyika makao makuu ya umoja huo jana Jumatatu: "nchi-dola huru ya Palestina lazima ianzishwe".

  • Marekani inatafakari kuiwekea vikwazo mahakama nzima ya ICC kwa kuchunguza jinai za Israel Ghaza

    Marekani inatafakari kuiwekea vikwazo mahakama nzima ya ICC kwa kuchunguza jinai za Israel Ghaza

    Sep 23, 2025 02:59

    Marekani inatafakari juu ya kuiwekea vikwazo vikali Mahakama nzima ya Kimataifa ya Jinai (ICC) mapema wiki hii, hatua ambayo inaweza kuvuruga sana shughuli za mahakama hiyo katika kuchunguza uhalifu wa kivita uliofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza.

  • Askari wanne wa utawala wa kizayuni waangamizwa, wanane wajeruhiwa kusini mwa Ghaza

    Askari wanne wa utawala wa kizayuni waangamizwa, wanane wajeruhiwa kusini mwa Ghaza

    Sep 18, 2025 07:12

    Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa wanajeshi wanne wa utawala wa kizayuni wa Israel wameangamizwa na wengine wanane wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu lililotegwa ardhini kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Israel yashadidisha mauaji dhidi ya wakazi wa Gaza; mashinikizo ya kimataifa yaongezeka dhidi yake

    Israel yashadidisha mauaji dhidi ya wakazi wa Gaza; mashinikizo ya kimataifa yaongezeka dhidi yake

    Sep 18, 2025 03:53

    Idadi ya vifo vya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza inaendelea kuongezeka huku mashambulizi ya kijeshi na mauaji ya kimbari ya Israel yakiingia mwaka wa pili sasa, na hivyo kuzidisha ukosoaji kimataifa.

  • Wabunge wa UK: Vikosi vya kijeshi vitakavyoongozwa na UN vipelekwe Ghaza kuzuia mauaji ya kimbari

    Wabunge wa UK: Vikosi vya kijeshi vitakavyoongozwa na UN vipelekwe Ghaza kuzuia mauaji ya kimbari

    Sep 18, 2025 00:16

    Wabunge watano wa Uingereza wamemwandikia barua waziri wao wa mambo ya nje Yvette Cooper wakiitaka serikali ya London "ifuatilie kwa dharura uingiliaji kati wa kijeshi utakaoongozwa na Umoja wa Mataifa" ili kukomesha mauaji ya kimbari ya yanayofanywa na Israel huko Ghaza.

  • Israel yashambulia kwa mabomu mnara wa 50 wa makazi katika mji wa Gaza

    Israel yashambulia kwa mabomu mnara wa 50 wa makazi katika mji wa Gaza

    Sep 08, 2025 04:03

    Utawala wa Israel umeshadidisha mashambulizi yake ya kinyama katika Ukanda wa Gaza kwa kushambulia na kubomoa jengo jingine la mnara wa 50 wa makazi ya Wapalestina katika mji wa Gaza huku ikitekeleza mashambulizi ya nchi kavu kwa lengo la kulikalia kwa mabavu eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS