Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Mkuu wa CIA alifanya safari ya siri Ukraine kabla ya uasi wa Wagner

    Mkuu wa CIA alifanya safari ya siri Ukraine kabla ya uasi wa Wagner

    Jul 01, 2023 10:36

    Magazeti ya Marekani yameripoti kuwa, Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) alifanya safari ya siri nchini Ukraine, siku chache kabla ya kufanyika uasi wa kundi la Wagner dhidi ya serikali ya Russia mnamo Juni 24.

  • Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Rais wa Ukraine akataa pendekezo la amani la viongozi wa Afrika

    Jun 17, 2023 12:06

    Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amepuuzilia mbali mapendekezo ya ujumbe wa viongozi wa Afrika ya kufanyika mazungumzo ya kusitisha vita na kutafuta amani ya kudumu katika eneo hilo.

  • Haley: Tunaipa silaha Ukraine ili 'tuzuie' vita, tutoe ujumbe kwa mahasimu wa US

    Haley: Tunaipa silaha Ukraine ili 'tuzuie' vita, tutoe ujumbe kwa mahasimu wa US

    Jun 06, 2023 02:45

    Nikki Haley mwenye azma ya kuteuliwa na chama cha Republican kuwa mgombea wake wa urais katika ujao nchini Marekani ametoa matamshi ya kujikanyaga akidai kuwa, njia pekee ya kukomesha vita vya Ukraine ni kuendelea mapigano baina ya Russia na Ukraine, na eti kushindwa Kiev katika vita hivyo kutaibua Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    Uzushi na undumakuwili wa Zelensky dhidi ya Iran

    May 29, 2023 01:24

    Rais wa Ukraine kwa mara nyingine tena ameitaka Iran isiipatie Russia ndege za kivita zisizo na rubani kauli ambayo ameitoa kwa kutegemea madai bandia ambayo yamepingwa mara kadhaa na Iran na pia Ukraine haijaweza kutoa ushahidi wowote wa maana kuhusu madai hayo.

  • Raia milioni 3.5 wa Ukraine wamekimbilia Russia tokea Februari 2022

    Raia milioni 3.5 wa Ukraine wamekimbilia Russia tokea Februari 2022

    May 28, 2023 06:35

    Zaidi ya raia milioni tatu na laki tano wa Ukraine wametorokea nchini Russia tangu operesheni ya kijeshi ya Moscow dhidi ya Kiev ianze mnamo Februari 2022.

  • Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    May 27, 2023 10:48

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa kuachana Ukraine na ndoto ya kujiunga na shirika la kijeshi la NATO na Umoja wa Ulaya EU ni miongoni mwa masharti ya Moscow ya kufanya suluhu na nchi hiyo.

  • Kan'ani: Madai ya uongo ya Ukraine yanalenga kuvutia misaada ya silaha na fedha kutoka Magharibi

    Kan'ani: Madai ya uongo ya Ukraine yanalenga kuvutia misaada ya silaha na fedha kutoka Magharibi

    May 27, 2023 07:17

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya chuki yaliyotolewa na Rais wa Ukraine dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, hatua hiyo ya serikali ya Kiev ya kukariri madai ya uongo inalenga kuvutia misaada zaidi ya silaha na ya kifedha kutoka nchi za Magharibi.

  • Kremlin yajibu vitisho vya Ukraine vya kumuua Rais wa Russia

    Kremlin yajibu vitisho vya Ukraine vya kumuua Rais wa Russia

    May 26, 2023 03:19

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) amesema hatua ya watawala wa Ukraine ya kutishia kumuua kigaidi Rais Vladimir Putin wa Russia imeonyesha dhati ya ugaidi ya viongozi wa Kiev.

  • Gharama za kijeshi za Umoja wa Ulaya zimeongezeka kwa asilimia 30

    Gharama za kijeshi za Umoja wa Ulaya zimeongezeka kwa asilimia 30

    May 14, 2023 11:35

    Mkuu wa Sera za Nje za Umoja wa Ulaya Josep Borrell ametangaza kuwa gharama za kijeshi za umoja huo zimeongezeka kwa asilimia 30.

  • Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza

    Russia: Ukraine imewashambulia raia kwa makombora ya Uingereza

    May 14, 2023 01:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa jeshi la Ukraine limewashambulia raia kwa kutumia makombora ya Uingereza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS