-
Russia yaonya kuhusu uwezekano wa kutokea Vita vya Tatu vya Dunia
Apr 26, 2022 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kuwa, hivi sasa kuna uwezekano walimwengu wakashuhudia kutoka Vita vya Tatu vya Dunia.
-
Putin ailaumu CIA kwa kuchoche kuuliwa waandishi wa habari wa Russia
Apr 26, 2022 03:02Rais Vladimir Putin wa Russia amelilaumu shirika la kijasusi la Marekani CIA kwa kuwachochea wanajeshi wa Ukraine kuwaua waandishi wa habari wa Russia.
-
Mashirika ya Ujasusi ya Marekani yamkana Biden; yasema: Russia haijafanya mauaji ya kimbari Ukraine
Apr 16, 2022 05:57Mashirika ya kijasusi ya Marekani yamesema kuwa, hayajapata ushahidi wowote wa kuthibitisha madai ya rais wa nchi hiyo Joe Biden kuwa Russia imefanya mauaji ya kimbari nchini Ukraine.
-
Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine
Apr 15, 2022 00:50Akizungumza Jumanne katika kikao cha wafanyikazi wa kituo cha anga cha Vostochny Mashariki ya Mbali nchini Russia, kuhusu kufikiwa malengo ya shambulio la Ukraine, ambayo aliyataja kuwa ya "wazi kabisa na bora," Rais Vladimir Putin amesema: Hakuna shaka hali itaendelea kuwa hivyo."
-
Watoto 400 wajeruhiwa hadi hivi sasa tangu kuanza vita vya Ukraine
Apr 14, 2022 05:37Shirika lisilo la kiserikali la Save The Children limetangaza kuwa, karibu watoto 400 wameuawa na kujeruhiwa katika wiki saba za vita vya Ukraine.
-
Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia
Apr 13, 2022 21:54Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.
-
Lavrov: Lengo la operesheni maalumu ya Russia nchini Ukraine ni kukomesha udhibiti wa Marekani duniani
Apr 12, 2022 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema lengo la operesheni maalumu ya Moscow nchini Ukraine ni kukomesha udhibiti wa Marekani duniani.
-
Konashenkov: Russia imeangamiza mfumo wa makombora wa S-300 wa Ukraine
Apr 11, 2022 03:14Igor Konashenkov Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, makombora ya nchi hiyo yamevunjilia mbali mfumo wa makombora wa S-300 wa Ukraine katika maeneo mawili.
-
Ramaphosa: Mgogoro wa Ukraine umefichua udhaifu wa Baraza la Usalama la UN
Apr 08, 2022 22:02Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mgogoro wa Ukraine umeanika wazi udhaifu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na namna taasisi hiyo kubwa zaidi ya kimataifa isivyo na uwezo wa kuidhaminia dunia amani na usalama.
-
Sisitizo la Putin la kutazamwa upya siasa za kuuzwa nje bidhaa za chakula za Russia
Apr 06, 2022 21:26Katika hotuba aliyotoa siku ya Jumanne, Rais Vladimir Putin wa Russia amelaani mashinikizo yanayotolewa na nchi za Ulaya dhidi ya shirika la Gazprom, ambalo husafirisha gesi ya nchi hiyo kwenda Ulaya, na kutishia kuchukua hatua za kulipiza kisasi.