Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    May 10, 2022 22:09

    Baa la njaa limegeuka na kuwa tatizo kubwa linaoukabili ulimwengu katika hali ya hivi sasa.

  • Abdollahian: Iran inapinga vita vya Ukraine na eneo lolote duniani

    Abdollahian: Iran inapinga vita vya Ukraine na eneo lolote duniani

    May 08, 2022 21:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna wajibu wa kufanyika mazungumzo ya kisiasa baina ya Ukraine na Russia kwa ajili ya kukomesha haraka vita huko Ukraine kwani vita si kwa manufaa ya upande wowote.

  • Nebenzia: Dunia imo katika vita vya kiuchumi vya dunia

    Nebenzia: Dunia imo katika vita vya kiuchumi vya dunia

    May 06, 2022 20:50

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa vita vya dunia katika upeo wa kiuchumi vinaendelea sasa dhidi ya Russia kwa ajili ya kukabiliana na operesheni maalumu ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine.

  • Russia: Mamluki wa Kizayuni wanapigana bega kwa bega na Waukraine

    Russia: Mamluki wa Kizayuni wanapigana bega kwa bega na Waukraine

    May 04, 2022 21:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, mamluki wa Israel wanapigana bega kwa bega na vikosi vya jeshi la Ukraine

  • Russia yaonya kuhusu uwezekano wa kutokea Vita vya Tatu vya Dunia

    Russia yaonya kuhusu uwezekano wa kutokea Vita vya Tatu vya Dunia

    Apr 26, 2022 03:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kuwa, hivi sasa kuna uwezekano walimwengu wakashuhudia kutoka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Putin ailaumu CIA kwa kuchoche kuuliwa waandishi wa habari wa Russia

    Putin ailaumu CIA kwa kuchoche kuuliwa waandishi wa habari wa Russia

    Apr 26, 2022 03:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amelilaumu shirika la kijasusi la Marekani CIA kwa kuwachochea wanajeshi wa Ukraine kuwaua waandishi wa habari wa Russia.

  • Mashirika ya Ujasusi ya Marekani yamkana Biden; yasema: Russia haijafanya mauaji ya kimbari Ukraine

    Mashirika ya Ujasusi ya Marekani yamkana Biden; yasema: Russia haijafanya mauaji ya kimbari Ukraine

    Apr 16, 2022 05:57

    Mashirika ya kijasusi ya Marekani yamesema kuwa, hayajapata ushahidi wowote wa kuthibitisha madai ya rais wa nchi hiyo Joe Biden kuwa Russia imefanya mauaji ya kimbari nchini Ukraine.

  • Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine

    Putin asisitiza udharura wa kuendelea operesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine

    Apr 15, 2022 00:50

    Akizungumza Jumanne katika kikao cha wafanyikazi wa kituo cha anga cha Vostochny Mashariki ya Mbali nchini Russia, kuhusu kufikiwa malengo ya shambulio la Ukraine, ambayo aliyataja kuwa ya "wazi kabisa na bora," Rais Vladimir Putin amesema: Hakuna shaka hali itaendelea kuwa hivyo."

  • Watoto 400 wajeruhiwa hadi hivi sasa tangu kuanza vita vya Ukraine

    Watoto 400 wajeruhiwa hadi hivi sasa tangu kuanza vita vya Ukraine

    Apr 14, 2022 05:37

    Shirika lisilo la kiserikali la Save The Children limetangaza kuwa, karibu watoto 400 wameuawa na kujeruhiwa katika wiki saba za vita vya Ukraine.

  • Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Apr 13, 2022 21:54

    Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS