Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Interpol yatahadharisha, Daesh watafanya tena mashambulizi Ulaya

    Interpol yatahadharisha, Daesh watafanya tena mashambulizi Ulaya

    Dec 21, 2018 00:23

    Katibu Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kundi la kigaidi la Daesh kufanya tena mashambulizi katika nchi za Ulaya.

  • AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    AU yazikosoa nchi za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Wahajiri

    Dec 18, 2018 23:21

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amezikosoa vikali nchi kadhaa za Ulaya zilizokataa kusaini Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri.

  • Jitihada za kuboresha hali za wahajiri duniani

    Jitihada za kuboresha hali za wahajiri duniani

    Dec 10, 2018 23:05

    Mkutano wa kimataifa wa uhajiri ulianza jana Jumatatu ya tarehe 10 Desemba nchini Morocco katika hali ambayo, mazingira na hali isiyoridhisha ya kisiasa, kijamii na kiuchumi, pamoja na kukosekana usalama katika nchi mbalimbali duniani hususan za mabara ya Afrika na Amerika ya Latini na maeneo mengine kadhaa ya bara la Asia vimesababisha kuongezeka wimbi la wahajiri duniani.

  • Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia

    Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia

    Dec 08, 2018 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amegusia mapigano ya hivi karibuni baina ya Russia na Ukraine na kusema kuwa suala la kuongeza vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Moscow haliingii akilini.

  • Qassemi:

    Qassemi: "Mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya" unafuatiliwa

    Dec 03, 2018 12:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV ungali unaendelea kufuatiliwa; na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeshabainisha wazi mategemeo iliyonayo katika suala hilo.

  • Ulimwengu wa Michezo, Nov 19

    Ulimwengu wa Michezo, Nov 19

    Nov 19, 2018 05:45

    Haya ni baadhi ya matukio ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....

  • Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Makumi ya wahajiri wajifungia kwenye kontena Libya

    Nov 15, 2018 00:03

    Makumi ya wahajiri wamejifungia kwenye shehena iliyoko ndani ya meli moja katika mji bandari wa Misrata kwa muda wa siku tano sasa baada ya kuokolewa, wakisisitiza kuwa Libya ni nchi hatari sana kwao.

  • Misimamo inayogongana ya Trump mkabala na mamlaka ya kiulinzi ya Ulaya

    Misimamo inayogongana ya Trump mkabala na mamlaka ya kiulinzi ya Ulaya

    Nov 13, 2018 09:43

    Hitilafu na mizozo baina ya Ulaya na Marekani imedhihiri hivi sasa kuliko kipindi kingine chochote kile tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie madarakani.

  • Bahram Qassemi:  Mchakato wa kuweko njia ya mabadilishano ya kifedha ya Iran na EU unaendelea vizuri

    Bahram Qassemi: Mchakato wa kuweko njia ya mabadilishano ya kifedha ya Iran na EU unaendelea vizuri

    Nov 05, 2018 10:45

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mchakato wa kuanzisha njia na kanali maaluumu ya mabadilishano ya kifedha kati ya Iran na Umoja wa Ulaya unaendelea vizuri.

  • Mwito wa Ulaya wa kuweko muungano wa kimataifa wa kulinda biashara huru

    Mwito wa Ulaya wa kuweko muungano wa kimataifa wa kulinda biashara huru

    Nov 05, 2018 04:20

    Peter Altmaier, waziri wa uchumi wa Ujerumani amehimiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kulinda biashara huru kama njia ya kukabiliana na siasa za rais wa Marekani, Donald Trump, za kuzibana nchi nyingine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS