• Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu

    Msemaji wa al Qassam asema Iran ni safu ya mbele ya kutetea Umma wa Kiislamu

    Mar 22, 2026 03:48

    Msemaji wa tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya maeneo mbalimbali ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Jumatatu tarehe 24 Machi 2025

    Jumatatu tarehe 24 Machi 2025

    Mar 23, 2025 23:06

    Leo ni Jumatatu tarehe 23 Ramadhani 1446 Hijria sawa na Machi 24 mwaka 2025.

  • Rais Pezeshkian: Lengo kuu la Iran ni umoja, mshikamano na maelewano katika Umma wa Kiislamu

    Rais Pezeshkian: Lengo kuu la Iran ni umoja, mshikamano na maelewano katika Umma wa Kiislamu

    Sep 16, 2024 02:58

    Huku akielezea malengo ya safari yake ya siku tatu nchini Iraq, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa: Lengo kuu la serikali ni umoja, mafungamano na maelewano katika Umma mzima wa Kiislamu.

  • Raisi: Waislamu wana wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Raisi: Waislamu wana wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Apr 10, 2024 00:07

    Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.

  • Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Nov 19, 2023 03:03

    Katika kikao chake na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na mabalozi wa nchi za Kiislamu tarehe 18 Februari mwaka huu, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran alisema suala la Palestina ni moja ya masuala muhimu zaidi ya ulimwengu wa Kiislamu. Alisema hali ya kusikitisha na kuhuzunisha ya hivi sasa huko Palestina ni matokeo ya kupuuzwa suala hilo na baadhi ya nchi za Kiislamu.

  • Rais Raisi: Ahul Bayt AS ni siri ya Umoja wa Kiislamu

    Rais Raisi: Ahul Bayt AS ni siri ya Umoja wa Kiislamu

    Sep 01, 2022 06:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ahul Bayt AS- yaani watu wa nyumba ya Mtume Muhammad SAW, ni ufunguo wa Umoja wa Kiislamu na chimbuko la matumaini katika jamii ya mwanadamu.

  • Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Feb 02, 2019 01:05

    Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.

  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 09:07

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki

    Al Houthi: Uislamu wa Kimarekani ni wa kinafiki

    Jul 13, 2018 22:51

    Katibu Mkuu wa harakati ya Ansurulla nchini Yemen amesema kuwa Uislamu wa Kimarekani, Kisaudia na Kiimarati ni Uislamu wa kinafiki unaopingana na asili ya Uislamu.

  • Alimu mkubwa Tunisia: Fatwa za mamufti wa Kiwahabi, zinalenga kuusambaratisha Uislamu

    Alimu mkubwa Tunisia: Fatwa za mamufti wa Kiwahabi, zinalenga kuusambaratisha Uislamu

    Apr 11, 2018 00:08

    Alimu mmoja wa ngazi ya juu wa Kiislamu nchini Tunisia, amesema kuwa fatwa za upotoshaji za mamufti wa Saudia, zinaelekea kuuangamiza umma wa Kiislamu.