Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Hali ya watu wa Darfur inatia wasiwasi

    UN: Hali ya watu wa Darfur inatia wasiwasi

    Feb 08, 2016 04:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makumi ya maelfu ya raia waliokimbia mapigano makali yanayoendelea kati ya jeshi la serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Jabal al Murrah huko magharibi mwa Darfur wanaishi katika hali inayovunja moyo na kuhuzunisha.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hali hatari ya Ukanda wa Ghaza

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hali hatari ya Ukanda wa Ghaza

    Feb 07, 2016 00:11

    Ripoti mbalimbali kuhusu Ghaza zinabainisha kuwa eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya kutokana na kusuasua zoezi la kukarabati uharibifu uliosababishwa na jinai kubwa za utawala wa Kizayuni hususan katika vita vitatu vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

  • Tuhuma mpya dhidi ya askari wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Tuhuma mpya dhidi ya askari wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 05, 2016 10:37

    Umoja wa Mataifa umetangaza kutolewa tuhuma mpya dhidi ya askari wake wanaohudumu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Feb 05, 2016 03:41

    Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.

  • Katibu Mkuu wa UN: Viongozi wa Afrika msing'ang'anie madaraka

    Katibu Mkuu wa UN: Viongozi wa Afrika msing'ang'anie madaraka

    Jan 31, 2016 04:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amewaambia viongozi wa Afrika kuwa haipasi kutumia mianya ya kisheria au mabadiliko ya Katiba yasiyo ya kidemokrasia ili "kung'ang'ania madaraka", na kwamba wanapaswa kuheshimu kikomo cha muhula wa kubakia madarakani.

  • Israel haina budi kuangamiza silaha zake za nyuklia

    Israel haina budi kuangamiza silaha zake za nyuklia

    Jan 29, 2016 12:00

    Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa amesema utawala haramu wa Israel sasa hauna kisingizio cha kutotia saini Mkataba wa Kupiga Marufuku Kikamilifu Majaribio ya Silaha za Nyuklia (CTBT) baada ya mapatano ya nyuklia baina ya Iran na nchi za Magharibi.

  • Kuakhirishwa duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa CAR

    Kuakhirishwa duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa CAR

    Jan 28, 2016 11:32

    Duru ya mwisho ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo ilipangwa kufanyika tarehe 31 mwezi huu imeakhirishwa.

  • UN yakosoa tena jinai za utawala ghasibu wa Israel

    UN yakosoa tena jinai za utawala ghasibu wa Israel

    Jan 28, 2016 04:06

    Umoja wa Mataifa umesisitiza tena misimamo yake kuhusu jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina siku moja baad aya utawala huo kupinga matamshi ya Katibu Mkuu wa umoja huo ddhidi ya mienendo ya Israel.

  • Ban atoa wito wa kuzuiwa hujuma dhidi ya Uislamu

    Ban atoa wito wa kuzuiwa hujuma dhidi ya Uislamu

    Jan 28, 2016 03:50

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kwamba vitendo vya hujuma dhidi ya wageni, propaganda chafu dhidi ya Uislamu na mivutano ya kikaumu na kimadhehebu vimeongeseka kote duniani na kuogeza kuwa kutolewa elimu sahihi ndiyo ufunguo wa matatizo hayo yote.

  • Iran: Kuendelea jinai za Israel ni natija ya kutokuwa na uwezo Baraza la Usalama

    Iran: Kuendelea jinai za Israel ni natija ya kutokuwa na uwezo Baraza la Usalama

    Jan 27, 2016 10:16

    Naibu Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuendelea jinai za utawala wa Israel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni kutokuwa na uwezo Baraza la Usalama katika kutekeleza wadhifa wake.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS