• Kipaumbele cha Iran ni usitishaji vita huko Gaza, utawala wa Israel utatiwa adabu

    Kipaumbele cha Iran ni usitishaji vita huko Gaza, utawala wa Israel utatiwa adabu

    Aug 10, 2024 10:36

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, haki ya kujilinda kuhusiana na mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas mjini Tehran haina uhusiano wowote na usitishaji vita huko Gaza na kusema kuwa, usitishaji vita katika eneo la Magharibi mwa Asia ni kipaumbele cha Iran.

  • Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Baraza la Usalama laidhinisha MONUSCO kuipa SADC msaada wa kilojistiki DRC

    Aug 07, 2024 06:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kuidhinisha kikosi cha kusimamia amani cha umoja huo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kutoa msaada wa kiutendaji na wa suhula na zana za kijeshi kwa ujumbe wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) nchini DRC.

  • UN: Wapalestina Gaza wanahitaji chanjo haraka ili kuzuia polio

    UN: Wapalestina Gaza wanahitaji chanjo haraka ili kuzuia polio

    Jul 31, 2024 02:40

    Katika jitihada za kuzuia janga la ugonjwa wa polio huko Gaza, mashirika ya misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa jana Jumanne yalikariri wito wa kufanyika jitihada za kimataifa za kuutaka utawala wa Israel usitishe vita ili kuruhusu kampeni kubwa ya utoaji chanjo kuanza.

  • Utayari wa Iran wa kushirikiana katika kuimarisha amani na usalama katika eneo

    Utayari wa Iran wa kushirikiana katika kuimarisha amani na usalama katika eneo

    Jul 20, 2024 08:01

    Amir Saeid Iravani Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Iran iko tayari kushirikiana na nchi nyingine katika fremu ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai na Umoja wa Mataifa ili kukabiliana na changamoto za dharura na kuimarisha amani na usalama katika eneo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Kila eneo la Gaza ni uwanja wa mauaji

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Kila eneo la Gaza ni uwanja wa mauaji

    Jul 17, 2024 03:37

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mashambulizi na jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la utawala ghasibu wa Israel katika kambi za wakimbizi wa Kipalestina huko Ukanda wa Gaza vimegeuza kila sehemu ya eneo hilo kuwa uwanja wa mauaji.

  • DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    Jul 14, 2024 06:48

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.

  • Onyo la UN kuhusu ongezeko la vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Onyo la UN kuhusu ongezeko la vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya

    Jul 06, 2024 02:36

    Volker Turk, Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, alionya Jumatano wiki hii kuhusu kuibuka kwa vyama vya mrengo wa kulia vyenye misimamo ya kufurutu mipaka barani Ulaya na kuhatarishwa haki za wahamiaji na wakimbizi.

  • UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya

    UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya

    Jun 28, 2024 03:20

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na maandamano ya ghasia ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 nchini Kenya, yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa.

  • Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine

    Jun 22, 2024 10:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasi wasi mkubwa alionao kutokana na kushtadi taharuki baina ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Israel na kusisitiza kuwa, dunia haiwezi kuvumilia Lebanon igeuzwe Gaza nyingine.

  • Wataalamu wa UN: Wauzaji silaha kwa Israel wanashiriki katika ukiukaji wa haki za binadamu

    Wataalamu wa UN: Wauzaji silaha kwa Israel wanashiriki katika ukiukaji wa haki za binadamu

    Jun 22, 2024 06:51

    Kundi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa limewaonya watengenezaji wa silaha na zana za kivita kuhusu kupeleka silaha kwa utawala ghasibu wa Israel na kutangaza kuwa, wanaofanya hivyo ni washirika wa utawala wa Kizayuni katika kukiuka haki za binadamu na sheria za kimataifa.