-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Kila eneo la Gaza ni uwanja wa mauaji
Jul 17, 2024 00:07Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mashambulizi na jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la utawala ghasibu wa Israel katika kambi za wakimbizi wa Kipalestina huko Ukanda wa Gaza vimegeuza kila sehemu ya eneo hilo kuwa uwanja wa mauaji.
-
DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda
Jul 14, 2024 03:18Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.
-
Onyo la UN kuhusu ongezeko la vyama vya mrengo wa kulia barani Ulaya
Jul 05, 2024 23:06Volker Turk, Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, alionya Jumatano wiki hii kuhusu kuibuka kwa vyama vya mrengo wa kulia vyenye misimamo ya kufurutu mipaka barani Ulaya na kuhatarishwa haki za wahamiaji na wakimbizi.
-
UN: Tumeshtushwa na mauaji dhidi ya waandamanaji Kenya
Jun 27, 2024 23:50Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na maandamano ya ghasia ya kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 nchini Kenya, yaliyopelekea makumi ya watu kuuawa.
-
Guterres: Dunia haiwezi kustahamili Lebanon iwe Gaza nyingine
Jun 22, 2024 07:02Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasi wasi mkubwa alionao kutokana na kushtadi taharuki baina ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Israel na kusisitiza kuwa, dunia haiwezi kuvumilia Lebanon igeuzwe Gaza nyingine.
-
Wataalamu wa UN: Wauzaji silaha kwa Israel wanashiriki katika ukiukaji wa haki za binadamu
Jun 22, 2024 03:21Kundi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa limewaonya watengenezaji wa silaha na zana za kivita kuhusu kupeleka silaha kwa utawala ghasibu wa Israel na kutangaza kuwa, wanaofanya hivyo ni washirika wa utawala wa Kizayuni katika kukiuka haki za binadamu na sheria za kimataifa.
-
Umoja wa Mataifa watoa onyo kali kuhusu kuongezeka majanga katika Ukanda wa Gaza
Jun 20, 2024 22:44Francesca Albanese, Ripota wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina, amesema katika taarifa kwamba hali ya maafa huko Ukanda wa Gaza imezidi kuwa mbaya. Kwa kauli yake, utawala haramu wa Israel unalenga misafara ya misaada ya kibinadamu inayotumwa Gaza na kuzuia ufikaji wa misaada katika ukanda huo.
-
Martin Griffiths : Upuuzaji wa Israel hauwezi kuendelea; ataka kulindwa raia
May 28, 2024 04:24Mratibu mkuu wa misaada na masuala ya dharura wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya utawala wa Israel katika kambi ya wakimbizi wa ndani wa Kipalestina katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza akisema kuwa upuuzaji wa Israel hauwezi kuendelea. Afisa huyo wa Umoja wa Mataifa ametaka kulindwa raia na kuruhusiwa kuelekea maeneo salama.
-
UN yaitaka Israel isimamishe mashambulio Rafah kama ilivyoagizwa na ICJ
May 25, 2024 07:36Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala haramu wa Israel uheshimu na utekeleza amri ya kusitisha operesheni za kijeshi mjini Rafah, kama ilivyoagizwa na mahakama kuu ya Umoja wa Mataifa.
-
Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwekewe vikwazo
May 25, 2024 07:32Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa mwito wa kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel.