-
Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA
Feb 05, 2024 15:43Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kuchafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
Abdollahian akosoa vikali mashambulio ya Marekani dhidi ya Syria na Iraq
Feb 04, 2024 07:27Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na mashambulio ya hivi karibuni ya Marekani katika mataifa ya Syria na Iraq chimbuko lake ni utendaji wa kimakosa na usio sahihi wa Washington katika kutatua matatizo ya Asia Magharibi kwa ktumia mtutu wa bunduki.
-
UN yailaani Israel kwa kuwaua na kuwanyamazisha waandishi wa habari huko Gaza
Feb 02, 2024 14:06Wataalamu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameeleza kusitikishwa na kulaani vitendo vya waandishi wa habari kuuawa, kushambuliwa, kujeruhiwa na kuwekwa vizuizini na vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu la Ukanda wa Gaza.
-
Umoja wa Mataifa washtushwa na mauaji ya watu 50 nchini Mali
Feb 02, 2024 07:49Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa na mauaji ya karibuni ya makumi ya watu nchini Mali.
-
UN: Watu wa Gaza wanapambana kila siku ili kuishi
Feb 02, 2024 02:40Umoja wa Mataifa umesema kuwa wakazi wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza kila siku wanapambana ili kuweza kuishi.
-
UN: Maelfu ya Wapalestina wa Gaza waliokamatwa na askari wa Israel wanateswa
Jan 20, 2024 07:22Umoja wa Mataifa umesema huenda vikosi vya jeshi la Israel vimewakamata maelfu ya Wapalestina wakazi wa Ukanda wa Gaza, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendeleza mauaji na jinai za kutisha dhidi ya wakazi wa eneo hilo uliolizingira.
-
Mapigano ya kikabila yameua zaidi ya 15,000 katika mji mmoja Sudan
Jan 20, 2024 07:21Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema watu kati ya 10,000 na 15,000 waliuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila mwaka jana katika mji mmoja ulioko katika jimbo la Darfur Magharibi nchini Sudan.
-
Mtaalamu wa UN: Hakuna kinachoweza kuhalalisha ilichokifanya Israel Gaza
Jan 19, 2024 11:47Mtalaamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ameashiria ukiukaji wa sheria za kimataifa uliofanywa mara chungu nzima na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hakuna kitu kinachoweza kuhalalisha vita vya mauaji ya kimbari vya Israel katika eneo hilo lilozingirwa.
-
Guterres asisitiza udharura wa kufanyika marekebisho katika Umoja wa Mataifa
Jan 18, 2024 03:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza haja ya kufanyika marekebisho katika muundo wa Baraza la Usalama la shirika hilo la kimataifa.
-
OCHA: Israel inazuia kupelekwa dawa kaskazini mwa Gaza
Jan 17, 2024 02:36Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia ufikishaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.