Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Feb 05, 2024 15:43

    Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kuchafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

  • Abdollahian akosoa vikali mashambulio ya Marekani dhidi ya Syria na Iraq

    Abdollahian akosoa vikali mashambulio ya Marekani dhidi ya Syria na Iraq

    Feb 04, 2024 07:27

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na mashambulio ya hivi karibuni ya Marekani katika mataifa ya Syria na Iraq chimbuko lake ni utendaji wa kimakosa na usio sahihi wa Washington katika kutatua matatizo ya Asia Magharibi kwa ktumia mtutu wa bunduki.

  • UN yailaani Israel kwa kuwaua na kuwanyamazisha waandishi wa habari huko Gaza

    UN yailaani Israel kwa kuwaua na kuwanyamazisha waandishi wa habari huko Gaza

    Feb 02, 2024 14:06

    Wataalamu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameeleza kusitikishwa na kulaani vitendo vya waandishi wa habari kuuawa, kushambuliwa, kujeruhiwa na kuwekwa vizuizini na vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu la Ukanda wa Gaza.

  • Umoja wa Mataifa washtushwa na mauaji ya watu 50 nchini Mali

    Umoja wa Mataifa washtushwa na mauaji ya watu 50 nchini Mali

    Feb 02, 2024 07:49

    Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa na mauaji ya karibuni ya makumi ya watu nchini Mali.

  • UN: Watu wa Gaza wanapambana kila siku ili kuishi

    UN: Watu wa Gaza wanapambana kila siku ili kuishi

    Feb 02, 2024 02:40

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa wakazi wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza kila siku wanapambana ili kuweza kuishi.

  • UN: Maelfu ya Wapalestina wa Gaza waliokamatwa na askari wa Israel wanateswa

    UN: Maelfu ya Wapalestina wa Gaza waliokamatwa na askari wa Israel wanateswa

    Jan 20, 2024 07:22

    Umoja wa Mataifa umesema huenda vikosi vya jeshi la Israel vimewakamata maelfu ya Wapalestina wakazi wa Ukanda wa Gaza, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendeleza mauaji na jinai za kutisha dhidi ya wakazi wa eneo hilo uliolizingira.

  • Mapigano ya kikabila yameua zaidi ya 15,000 katika mji mmoja Sudan

    Mapigano ya kikabila yameua zaidi ya 15,000 katika mji mmoja Sudan

    Jan 20, 2024 07:21

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema watu kati ya 10,000 na 15,000 waliuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila mwaka jana katika mji mmoja ulioko katika jimbo la Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Mtaalamu wa UN: Hakuna kinachoweza kuhalalisha ilichokifanya Israel Gaza

    Mtaalamu wa UN: Hakuna kinachoweza kuhalalisha ilichokifanya Israel Gaza

    Jan 19, 2024 11:47

    Mtalaamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ameashiria ukiukaji wa sheria za kimataifa uliofanywa mara chungu nzima na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hakuna kitu kinachoweza kuhalalisha vita vya mauaji ya kimbari vya Israel katika eneo hilo lilozingirwa.

  • Guterres asisitiza udharura wa kufanyika marekebisho katika Umoja wa Mataifa

    Guterres asisitiza udharura wa kufanyika marekebisho katika Umoja wa Mataifa

    Jan 18, 2024 03:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza haja ya kufanyika marekebisho katika muundo wa Baraza la Usalama la shirika hilo la kimataifa.

  • OCHA: Israel inazuia kupelekwa dawa kaskazini mwa Gaza

    OCHA: Israel inazuia kupelekwa dawa kaskazini mwa Gaza

    Jan 17, 2024 02:36

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia ufikishaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS