-
UN: "Siku 100 za mashambulizi ya Israel huko Gaza zinahisika kama miaka 100" kwa Wapalestina
Jan 15, 2024 04:33Philippe Lazzarini, Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), amesema siku 100 zilizopita za mashambulizi ya Israel huko Ukanda wa Gaza zimekuwa kama miaka 100 kwa watu wa Gaza.
-
UN yatiwa wasiwasi na kuongezeka kauli za chuki za kikabila DRC, yataka hatua zichukuliwe
Jan 08, 2024 06:10Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk amesema ana wasiwasi mkubwa kutokana na kuongezeka kwa kauli za chuki zenye misingi ya kikabiila na uchochezi wa ghasia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC.
-
Umoja wa Mataifa: Vita vya Gaza lazima vikomeshwe
Jan 07, 2024 11:14Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu Martin Griffiths amesema ni lazima Jamii ya Kimataifa itumie "ushawishi wake wote" kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu UN yasisitiza tena: Ni marufuku kuwalazimisha watu wa Gaza kuhama nchi yao
Jan 05, 2024 06:56Kamishna Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amepinga matamshi yaliyotolewa na viongozi wa serikali ya Israel kuhusu suala la kuwahamisha watu wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka katika nchi zingine.
-
Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki
Jan 04, 2024 11:30Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.
-
Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi
Jan 04, 2024 11:11Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unapinga kile kinachoonekana kama mpango wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hatua haina tofauti na mauaji ya kimbari.
-
Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa
Dec 28, 2023 04:22Rais Miguel Diaz-Canel wa Cuba amelaani vikali mauaji ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kueleza kwamba, mauaji hayo ya kimbari ni kashfa na fedheha kwa ubinadamu.
-
WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Sudan, mapigano yaenea
Dec 21, 2023 11:23Mpango wa Chakula Dunia (WFP) umesimamisha kwa muda utoaji na usambazaji wa chakula katika baadhi ya maeneo katika jimbo la al-Jazira katikati ya Sudan, huku mapigano yakipanuka na kuenea pande za mashariki na kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.
-
Umoja wa Mataifa wataka kuundwa Mahakama maalumu ya vita vya Gaza
Dec 20, 2023 07:51Huku mashambulizi na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel yakiendelea Gaza, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu ametoa wito wa kuundwa mahakama maalumu kuhusiana na vita hivyo.
-
Guterres: US iifutie Iran vikwazo ili JCPOA iendelee kutekelezwa
Dec 20, 2023 03:05Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani iiondolee vikwazo sekta ya mafuta ya Iran ili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo Washington ilijiondoa kwayo Mei mwaka 2019 yaendelee kutekelezwa.