-
Serikali ya Libya yasimamisha mazungumzo ya amani baada ya Haftar kushambulia bandari
Feb 19, 2020 00:25Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya (GNA) inayotambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa haitaendelea kushiriki mkutano wa amani wa UN mjini Geneva, baada ya kukiukwa makubaliano dhaifu ya usitishaji vita.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa ukiukwaji wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya
Feb 17, 2020 00:02Afisa wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amekosoa ukiukwaji wa vikwazo vya siliha viliyowekwa na umoja huo dhidi ya Libya.
-
Katibu Mkuu wa UN: Radio ni chombo muhimu kinachounganisha jamii
Feb 14, 2020 08:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Radio inasalia kuwa chombo muhimu katika jamii kinachowaleta watu pamoja.
-
UN yayaweka kwenye orodha nyeusi mashirika yanayounga mkono ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel
Feb 13, 2020 03:55Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa orodha nyeusi inayohusisha mashirika na makampuni yenye uhusiano wa kibiashara na vitongoji haramu vya utawala wa Kizayuni wa Israel vilivyojengwa katika ardhi za Palestina.
-
Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
Feb 05, 2020 04:23Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
-
UN: Tunahitaji dola milioni 76 kupambana na nzige waliovamia Afrika Mashariki
Jan 30, 2020 23:12Umoja wa Mataifa umesema unahitaji dola milioni 76 haraka iwezekanavyo za kudhibiti mlipuko wa nzige wa jangwani waliovamia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.
-
UN: Watoto ndio wahanga wakuu wa mapigano eneo la Sahel
Jan 28, 2020 08:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamia ya watoto waliuawa mwaka jana katika mapigano na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa katika eneo la Sahel la barani Afrika.
-
Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria
Jan 27, 2020 00:51Marekani imekuwepo kijeshi na kinyume cha sheria nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh (ISIS), ambapo licha ya madai ya Rais Donand Trump ya kuwaondoa askari wa nchi yake kutoka taifa hilo la Kiarabu, lakini hadi leo askari hao wameendelea kuwepo sambamba na kupora mafuta ya Syria.
-
UN: Wasudan Kusini wanaunda idadi kubwa ya wakimbizi Ethiopia
Jan 26, 2020 09:28Umoja wa Mataifa umesema raia wa Sudan Kusini ndio wanaounda idadi kubwa ya wakimbizi nchini Ethiopia.
-
Mgogoro wa elimu waishtua UN, watoto milioni 258 hawaendi shule
Jan 25, 2020 04:08Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuna mgogoro mkubwa wa elimu duniani hivi sasa, na kwamba watoto zaidi ya milioni 258 walio chini ya umri wa miaka 17 hawaendi shule.