-
UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri
Jan 09, 2020 21:05Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ambaye pia ni mkuu wa mpango wa umoja huo nchini humo UNSOM jana aliliutembelea mji wa Hargesa, makao makuu ya eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland nchini Somalia na kukutana na viongozi wa eneo hilo kujadili uchaguzi na maendeleo.
-
Umoja wa Mataifa walaani mashambulizi ya Haftar dhidi ya raia huko Libya
Dec 29, 2019 23:44Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametoa taarifa jana usiku akilaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na kundi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya dhidi ya raia wa nchi hiyo chini ya uongozi wa Khalifa Haftar.
-
Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani
Dec 26, 2019 22:54Kwa kuzingatia kuwa Marekani ndiko yaliko makao makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi hiyo ya kibeberu daima imekuwa ikiwawekea vikwazo wanadiplomasia na maafisa wa ngazi za juu wa nchi zinazopinga siasa za Washington, wanaoazimia kusafiri nchini humo kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kikazi.
-
Alkhamisi tarehe 26 Disemba 2019
Dec 25, 2019 21:39Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Mfunguo Nane Rabiuthani 1441 Hijria inayosadifiana na Disemba 26 mwaka 2019.
-
UN na jumuiya za kimataifa zapinga hukumu ya kimaonyesho ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi
Dec 25, 2019 03:37Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia una historia ndefe ya ukiukaji wa haki za binadamu na kukandamiza wapinzani wake ndani naa nje ya nchi hiyo. Miongoni mwa vielelezo vya wazi vya ukatili na ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu wa Saudia ni mauaji ya kutisha yaliyofanywa na maajenti wa utawala huo dhidi ya mwandishi na mpiznni wa serikali ya Riyadh, Jamal Khashoggi.
-
Jamii ya kimataifa yapinga hukumu ya kimaonyesho kuhusu mauaji ya Khashoggi
Dec 24, 2019 03:09Umoja wa Mataifa umetilia mkazo udharura wa kufanyika uchunguzi huru kuhusu mauaji ya mwandishi na mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi.
-
Azimio la UN kwa ajili ya kuwaondolea vizuizi wanadiplomasia wa Iran nchini Marekani
Dec 20, 2019 02:46Marekani ambayi ni mwenyeji wa makao makuu ya Umoja wa Mataifa siku zore imekuwa ikitatiza na kuwekdea vizingiti wanadiplomasia na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali zinaopinga siasa za Washington.
-
Mlipuko wa ugonjwa wa surua waua watu 70 Samoa
Dec 10, 2019 04:07Umoja wa Mataifa umesema mlipuko wa ugonjwa wa surua (measles) umeua makumi ya watu katika kisiwa cha Samoa kilichoko katika Bahari ya Pacific.
-
Wahajiri 58 waaga dunia katika ajali ya boti pwani ya Mauritania
Dec 05, 2019 23:22Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limesema makumi ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti yao kuzama karibu na pwani ya Mauritania, wakiwa safarini kuelekea Ulaya kutafuta maisha.
-
UN: Ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel unaisababishia Palestina hasara ya dola bilioni 2.5 kwa mwaka
Dec 03, 2019 04:17Umoja wa Mataifa umesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina inausababishia uchumi wa Wapalestina hasara ya dola bilioni 2.5 kila mwaka.