-
UN: Mkutano ujao wa G20 usifanyike Saudia kutokana na mauaji ya Khashoggi
Jul 03, 2019 03:06Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameyataka madola yenye nguvu kuangalia upya suala la Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa mkutano ujao wa Kundi G20.
-
Lavrov na afisa wa UN wasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mzozo wa Yemen
Jul 02, 2019 07:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen wamesisitiza ulazima wa kufanyika juhudi ili kuhitimisha hali ya mgogoro huko Yemen..
-
Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa
Jul 02, 2019 03:14Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja huo ikilaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema uchokozi huo ni sehemu ya njama za Tel Aviv za kutaka kurefusha mgogoro nchini Syria.
-
Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu UN: Muamala wa Karne utashindwa na kugonga ukuta
Jun 29, 2019 23:46Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema kuwa, mpango wa Kimarekani-Kizayuni wa "Muamala wa Karne" utashindwa na kugonga ukuta.
-
UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu
Jun 29, 2019 12:33Umoja wa Mataifa umeashiria hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen hivi sasa na kueleza kuwa watoto zaidi ya 7,500 wameuawa au kujeruhiwa nchini humo.
-
UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi
Jun 24, 2019 22:47Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.
-
Katibu Mkuu wa UN: Iran ingali imefungamana na JCPOA
Jun 21, 2019 06:59Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
UN: Vita vimewafanya watu milioni 71 duniani kuwa wakimbizi
Jun 19, 2019 03:09Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema takriban watu milioni 71 wamelazimika kuwa wakimbizi kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.
-
Mtaalamu wa UN aondoka Comoro baada ya kuzuiwa kufanya kazi
Jun 18, 2019 22:09Mtaalamu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu utesaji, Nils Melzer, amesitisha ziara yake aliyokuwa afanye Comoro, baada ya kukumbwa na vizuizi kadhaa.
-
UN: Raia 42 wameuawa katika mapigano nchini Libya
Jun 15, 2019 08:01Umoja wa Mataifa umesema mapigano baina ya vikosi vya kamanda muasi wa Libya, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al-Sarraj, Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa katika mji mkuu Tripoli yamesababisha vifo vya raia 42, huku wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa.