Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Mjumbe wa UN Libya: Harakati za Khalifa Haftar ni za kimapinduzi

    Mjumbe wa UN Libya: Harakati za Khalifa Haftar ni za kimapinduzi

    Apr 16, 2019 09:48

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema mienendo na harakati zinazofanywa na Jenerali Khalifa Haftar na vikosi vyake ni za kimapinduzi na wala hazifanani na harakati za kupambana na ugaidi kama anavyodai yeye.

  • Iran kushirikiana na Umoja wa Mataifa katika anga za mbali

    Iran kushirikiana na Umoja wa Mataifa katika anga za mbali

    Apr 13, 2019 22:03

    Waziri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano nchini Iran Mohammad-Javad Azari Jahromi amekutana na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Anga za Mbali UNOOSA Simonetta Di Pippo ambapo wamejadili masuala mbali mbali ikiw ani pamoja na njia za kukabiuliana na maafa ya kimaumbile na ushirikino katika suala la anga za mbali.

  • Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Apr 12, 2019 20:46

    Baraza la Kijeshi la Mpito linaloshikilia hatamu za uongozi nchini Sudan limepuuzilia mbali mwito wa kumkabidhi Omar al-Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likisisitiza kuwa yumkini rais huyo aliyeng'olewa madarakani akafunguliwa mashitaka nchini humo.

  • UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    Apr 11, 2019 09:28

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya yamesababisha watu 56 kupoteza maisha kufikia sasa.

  • Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Guterres: Kuna haja ya kuunganishwa taasisi za Libya kabla ya uchaguzi

    Apr 04, 2019 03:29

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitembelea Libya siku chache kabla ya kufanyika kongamano la kitaifa la kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi nchini humo.

  • UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    UN yataka misaada ya kibinadamu iondolewe katika vikwazo dhidi ya Iran

    Apr 03, 2019 10:25

    Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa sanjari na kueleza kusikitishwa kwake na taathira hasi za mafuriko yaliyoua makumi ya watu nchini Iran, ametoa mwito wa kuondolewa misaada ya kibinadamu katika orodha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Rais Michel Aoun: Umoja wa Mataifa ukatazeni utawala wa Kizayuni uache kuichokoza Lebanon

    Rais Michel Aoun: Umoja wa Mataifa ukatazeni utawala wa Kizayuni uache kuichokoza Lebanon

    Mar 31, 2019 22:24

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ameutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kivitendo kukomesha uchokozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa kukiuka mipaka ya angani na majini ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Guterres ataka kuharakishwa utekelezwaji wa makubaliano ya amani CAR

    Guterres ataka kuharakishwa utekelezwaji wa makubaliano ya amani CAR

    Mar 24, 2019 03:29

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote husika kutekeleza kwa haraka mapatano ya amani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati yaliyotiwa saini katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui, siku moja baada ya kuundwa serikali mpya inayoyajumuisha makundi ya wabeba silaha.

  • UN: DRC inahitaji dola bilioni 1.6 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu

    UN: DRC inahitaji dola bilioni 1.6 kwa ajili ya misaada ya kibinadamu

    Mar 21, 2019 20:47

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji msaada wa dola bilioni 1.65 za Marekani kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya msingi na ya kibinadamu ya watu milioni 9 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walioathiriwa na mapigano.

  • UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 21, 2019 11:27

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Usalama na Ushirikiano wa Ulaya zimealikwa kushiriki kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kitakachofanyika mjini Istanbul huko Uturuki kesho Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS