Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya  ya watoto wa Lebanon

    UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watoto wa Lebanon

    Oct 01, 2024 13:46

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Lebanon na ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya watoto nchini humo.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    UNICEF: Zaidi ya watoto 50,000 wa Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali

    Sep 07, 2024 07:17

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, zaidi ya watoto 50,000 huko Gaza wanakabiliwa na utapiamlo mkali.

  • UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    Aug 09, 2024 10:10

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, Ukanda wa Ghaza umegeuzwa makaburi ya watoto wa Kipalestina na hakuna mwisho wa machungu na mateso wanayopata watoto hao.

  • UNICEF: Asilimia 90 ya wakaazi wa Gaza wamekimbia makazi yao

    UNICEF: Asilimia 90 ya wakaazi wa Gaza wamekimbia makazi yao

    Jul 19, 2024 07:26

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, asilimia 90 ya wakaazi wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao baada ya hujuma na uvamizi wa jeshi la Israel dhidi ya eneo hilo.

  • UNICEF yaonya kuhusu hali ya kutisha ya vita kwa watoto wa Ghaza

    UNICEF yaonya kuhusu hali ya kutisha ya vita kwa watoto wa Ghaza

    Apr 01, 2024 06:51

    Msemaji wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto ameonya kuhusu hali mbaya na ya kutisha waliyo nayo watoto wa ukanda wa Ghaza ambao wanateseka kwa mambo mengi ikiwemo njaa na mashambulizi ya mfululizo ya wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni.

  • UNICEF: Israel inaendesha

    UNICEF: Israel inaendesha "vita vya kuwalenga watoto" wa Ghaza iliyowekewa mzingiro

    Mar 22, 2024 02:30

    Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF James Elder amesema matukio yanayojiri katika Ukanda wa Ghaza ni "vita dhidi ya watoto," na kusisitiza kuwa eneo hilo hivi sasa si mahala pa kuishi watoto.

  • UNRWA yaonya: Watoto wa Gaza wanakufa polepole mbele ya macho ya walimwengu

    UNRWA yaonya: Watoto wa Gaza wanakufa polepole mbele ya macho ya walimwengu

    Mar 05, 2024 07:25

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, limeonya kuhusu vifo vingi vya watoto katika Ukanda wa Gaza huku kukiwa na ukosefu mkubwa wa chakula na upatikanaji wa maji salama na huduma za matibabu katika eneo hilo.

  • UNICEF: Wapalestina zaidi ya milioni moja wanatangatanga majiani Rafah, kusini mwa Gaza

    UNICEF: Wapalestina zaidi ya milioni moja wanatangatanga majiani Rafah, kusini mwa Gaza

    Feb 07, 2024 03:49

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni moja wanatangatanga bila makazi katika mitaa ya Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • UNICEF: Watoto katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hali mbaya sana

    UNICEF: Watoto katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hali mbaya sana

    Jan 07, 2024 04:31

    Mfuko wa Watoto waa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, hahli ya watoto katika Uukaanda wa Gaza ni mbaya mno.

  • UNICEF yatoa mwito wa kusitishwa mashambulio na jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    UNICEF yatoa mwito wa kusitishwa mashambulio na jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Nov 13, 2023 02:51

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetoa mwito wa kusitishwa mara moja hujuma, mashambulio na jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS