-
Maulamaa wa Bahrain: Kuipiga marufuku Al-Wifaq ni kutangaza vita
Jun 16, 2016 15:30Maulamaa wa Bahrain wametangaza kuwa hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kuzifuta na kuzipiga marufuku jumuiya na asasi za upinzani, kufunga ofisi zao na kuwatia nguvuni watu ni sawa na "kutangaza vita".
-
Kushadidishwa ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi
Jun 14, 2016 02:28Mfalme wa Bahrain amepiga marufuku shughuli za kisiasa za wanazuoni nchini humo lengo likiwa ni kushadidisha ukandamizaji kwa malalamiko ya raia wa nchi hiyo.
-
Wanazuoni Bahrain wapigwa marufuku kuendesha shughuli za kisiasa
Jun 12, 2016 13:14Mfalme wa Bahrain ametoa dikrii ya kubadilishwa baadhi ya vipengee vya kisheria kuhusu vyama vya kisiasa.
-
Utawala wa Aal Khalifa watoa hukumu ya kidhalimu dhidi ya Sheikh Salman
May 30, 2016 15:30Utawala wa Aal Khalifa umeendeleza ukandamizaji dhidi ya mapinduzi ya wananchi wa Bahrain kwa kutoa hukumu nyengine ya kidhalimu dhidi ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya al-Wifaq, Sheikh Ali Salman.
-
Hongo na ukandamizaji; silaha ya utawala wa Aal Khalifa ya kukabiliana na wapinzani Bahrain
May 22, 2016 16:19Ripoti kutoka Bahrain zinaeleza kuwa utawala wa kifalme wa ukoo wa Aal Khalifa unaendeleza siasa na sera zake za ukatili na ukandamizaji dhidi ya wapinzani na kushadidisha ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Wabahrain watano wavuliwa uraia na kuhukumiwa kifungo jela
Mar 26, 2016 01:42Mahakama moja nchini Bahrain imewahukumu vifungo vya miaka mitano hadi 15 jela wapinzani wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa.
-
Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain
Mar 08, 2016 03:12Mkuu wa masuala ya uhuru wa kidini katika shirika la kutetea haki za binadamu la Bahrain ametangaza kuwa kuwatuhumu Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo kwa uhaini kunakofanywa na vyombo vya habari vyenye mfungamano na utawala wa Aal Khalifa sasa limekuwa ni jambo la kawaida.
-
Hali mbaya ya wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain
Feb 26, 2016 16:20Matukio yanayojiri nchini Bahrain yanaonyesha kuwa utawala wa Aal Khalifa unazidisha hatua za ukandamizaji dhidi ya wananchi kiasi kwamba kuwatia nguvuni na kuwafungulia kesi wanaharakati wa kisiasa kunazidi kuchukua sura pana zaidi inayozidi kutia wasiwasi siku baada ya siku.
-
Bahrain inakiuka haki za watoto wadogo
Feb 16, 2016 01:06Utawala wa Aal Khalifa unaendelea kukiuka haki za binadamu hususan za watoto wadogo wa nchi hiyo.