Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Khalifa

  • Indhari ya jumuiya za wananchi nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Indhari ya jumuiya za wananchi nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    May 10, 2017 02:23

    Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 nchini Bahrain umetoa indhari na onyo kuhusiana na matokeo mabaya ya hujuma dhidi ya mwanazuoni wa Kishia Sheikh Issa Qassim.

  • Utawala wa Bahrain waahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, wahofia machafuko

    Utawala wa Bahrain waahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, wahofia machafuko

    May 07, 2017 14:27

    Kwa mara nyingine tena na kama ilivyotarajiwa, utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, umeahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, Kiongozi wa ngazi ya juu wa kidini nchini Bahrain kutokana na hofu ya kushindwa kudhibiti hali ya mambo nchini ikiwa utatoa hukumu dhidi yake.

  • Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa eneo la Diraz

    Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa eneo la Diraz

    Apr 29, 2017 07:43

    Askari wa utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain, kwa mwezi wa 10 mfululizo wamezuia Sala ya Ijumaa kusaliwa katika eneo la Diraz nchini humo.

  • Utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa waendelea kutumia silaha ya kuwavua uraia Wabahrain

    Utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa waendelea kutumia silaha ya kuwavua uraia Wabahrain

    Apr 24, 2017 15:03

    Mahakama Kuu ya Bahrain imewavua uraia vijana wawili wanaharakati wa nchi hiyo na kuwahukumu pia kifungo cha miaka kumi jela.

  • Mfalme wa Bahrain aafiki kuhukumiwa raia katika mahakama za kijeshi

    Mfalme wa Bahrain aafiki kuhukumiwa raia katika mahakama za kijeshi

    Apr 03, 2017 13:57

    Mfalme wa Bahrain leo Jumatatu amesaini sheria ya kuifanyia marekebisho katiba ili kuzipatia mamlaka mahakama za kijeshi za nchi hiyo kusikiliza kesi za raia wa kawaida nchini humo.

  • Wabahrain sasa kushtakiwa kwenye mahakama za kijeshi za utawala wa Aal Khalifa

    Wabahrain sasa kushtakiwa kwenye mahakama za kijeshi za utawala wa Aal Khalifa

    Mar 06, 2017 03:59

    Bunge la Bahrain limepitisha mpango uliopendekezwa na mfalme wa nchi hiyo Hamad bin Isa Al Khalifa wa kuifanyia marekebisho katiba kwa madhumuni ya kurahisisha kushtakiwa raia katika mahakama za kijeshi.

  • Maulamaa wa Bahrain wasisitiza kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Maulamaa wa Bahrain wasisitiza kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Feb 26, 2017 08:06

    Maulamaa nchini Bahrain wametoa taarifa na kusisitiza udharura wa kumtetea na kumuunga mkono Ayatullah Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini humo anayekandamizwa na utawala wa ukoo wa Aal Khalifa.

  • Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Dec 26, 2016 07:14

    Maulamaa nchini Bahrain wamelaani juhudi za utawala wa nchi hiyo za kuweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Askari usalama wa utawala wa Aal Khalifa wavamia nyumba ya Sheikh Issa Qassim

    Askari usalama wa utawala wa Aal Khalifa wavamia nyumba ya Sheikh Issa Qassim

    Dec 22, 2016 03:06

    Askari usalama wa utawala wa Bahrain wamevamia nyumba ya Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mashuhuri wa nchini humo.

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kukiuka haki za binadamu

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kukiuka haki za binadamu

    Dec 04, 2016 07:58

    Utawala wa Aal Khalifa unaendelea kukiuka haki za binadamu kwa pande zote khususan katika upande wa kimadhehebu bila kujali lolote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS