-
Ayatullah Amoli Larijani: Utawala wa Kizayuni unatekeleza siasa za kuigawa Iraq
Oct 09, 2017 10:50Mkuu wa Chombo cha Mahakama nchini Iran amesema kuwa kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan huko Iraq ni njama moja inayotekelezwa na madola ya kiistikbari khususan utawala wa Kizayuni ili kulishughulisha eneo hili.
-
Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika
Oct 07, 2017 23:12Balozi wa Palestina nchini Ethiopia amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya harakati za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika.
-
"Wazayuni ndio watu wanaogopa kifo zaidi duniani"
Oct 05, 2017 00:49Kituo kimoja wa Kizayuni kimetangaza data zilizotolewa na kituo cha kukusanya takwimu za hoteli za kimataifa na kukiri kuwa, Wazayuni ni watu nambari moja kwa woga na kuogopa kifo duniani.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio unaopata hasara kutokana na umoja wa Wapalestina
Oct 04, 2017 12:52Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaopata hasara zaidi unapokuwepo umoja na mshikamano kati ya Wapalestina na ndio maana utawala huo wakati wote unafanya njama za kuyazozanisha makundi ya Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni umekumbwa na wasiwasi kufuatia kuwekwa katika orodha nyeusi ya UN
Sep 28, 2017 10:43Rais wa Utawala wa Kizayuni amebainisha wasiwasi wake kuhusu orodha iliyotayarishwa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala huo kuhusu nchi zinazokiuka haki za binadamu.
-
Utawala wa Kizayuni wauzuia ujumbe wa bunge la Ulaya kuingia Ghaza
Sep 19, 2017 03:24Utawala wa Kizayuni umekataa kuuruhusu ujumbe wa bunge la Ulaya kulizuru eneo la Ghaza kwa lengo la kuchunguza hali mbaya ya kibinadamu iliyosababishwa katika eneo hilo na mzingiro wa kiuchumi wa utawala huo wa Kizayuni.
-
Ubalozi mdogo wa Israel wafungwa New York, Netanyahu atishiwa kuuawa
Sep 16, 2017 03:47Ubalozi mdogo wa utawala haramu wa Israel mjini New York, Marekani umefungwa baada ya kupokea vitisho.
-
Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa
Sep 12, 2017 00:17Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa mkutano wa utawala huo na nchi za Afrika uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi ujao nchini Togo umeakhirishwa hadi wakati mwengine.
-
Mrithi wa Ufalme wa Saudia alifanya safari ya siri Israel
Sep 12, 2017 00:09Tovuti moja ya habari ya Kizayuni imeripoti kuwa Muhammad bin Salman, mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia wiki iliyopita alifanya safari ya siri huko Tel Aviv ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu.
-
Katibu wa Kamati ya PLO: Ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina umeongezeka kwa asilimia 85
Sep 06, 2017 23:49Katibu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema ujenzi na upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Wapalestina umoengezeka kwa asilimia 85 katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Agosti mwaka huu kulinganisha na kipindi kama hicho katika mwaka uliopita.