Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Ijumaa tarehe 09 Juni, 2017

    Ijumaa tarehe 09 Juni, 2017

    Jun 08, 2017 22:01

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Ramadhani 1438 Hijria, sawa na tarehe 9 Juni, 2017.

  • Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jun 07, 2017 06:10

    Danny Danon Balozi wa Utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa amekosoa vikali matamshi ya katibu mkuu wa umoja huo Antonio Gutterres ambaye ameunga mkono uundwaji nchi huru ya Palestina.

  • Utawala wa Kizayuni waipongeza Saudia kwa kukata uhusiano na Qatar

    Utawala wa Kizayuni waipongeza Saudia kwa kukata uhusiano na Qatar

    Jun 06, 2017 03:38

    Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amekaribisha hatua ya Saudi Arabia na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kukata mahusiano yao na taifa la Qatar na kusema kuwa, hiyo ni fursa pekee kwa ajili ya Israel.

  • Jumanne, Juni 6, 2017

    Jumanne, Juni 6, 2017

    Jun 05, 2017 22:29

    Leo ni Jumanne mwezi 11 Ramadhani, 1438 Hijria mwafaka na tarehe 6 Juni 2017 Milaadia.

  • Imarati yazidi kuimarisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Imarati yazidi kuimarisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Jun 05, 2017 03:16

    Uhusiano wa kiraifiki baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu au Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel umezidi kufichuka baada ya kubainika kuwa pande hizo mbili zina miradi ya pamoja ya kiuchumi na zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.

  • Makombora ya Hizbullah ndio tishio kubwa zaidi kwa utawala wa Kizayuni

    Makombora ya Hizbullah ndio tishio kubwa zaidi kwa utawala wa Kizayuni

    May 31, 2017 03:21

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema makombora ya harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah ndio hatari kubwa zaidi inayoukabili utawala huo ghasibu.

  • Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    Rasimu ya sheria ya 'Quds Kubwa' yawasilishwa kwenye bunge la utawala wa Kizayuni

    May 30, 2017 23:40

    Wabunge wawili wa mrengo wa kulia katika bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset wamewasilisha kwenye bunge hilo rasimu ya sheria iliyopewa jina la 'Quds Kubwa'.

  • Wazayuni waitaka Marekani iendelee kuliunga mkono kundi la Daesh (ISIS)

    Wazayuni waitaka Marekani iendelee kuliunga mkono kundi la Daesh (ISIS)

    May 26, 2017 23:51

    Baadhi ya maafisa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameishauri Marekani kuwa haipasi kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) litokomezwe kwa sababu kundi hilo halijawahi kuwa tishio na hatari kwa Israel.

  • Jumatano, 24 Mei, 2017

    Jumatano, 24 Mei, 2017

    May 23, 2017 21:46

    Leo ni Jumatano tarehe 27 Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 24 Mei mwaka 2017 Miladia.

  • Jihadul-Islam, yauonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jihadul-Islam, yauonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 16, 2017 03:50

    Brigedia ya Quds tawi la harakati ya muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina sambamba na kuonyesha picha na video kuhusiana na mwendelezo wa siasa za sasa za utawala huo dhidi ya taifa la Palestina na Ukanda wa Gaza, imetoa indhari kali kwa utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS