-
Hamas: Wananchi wa Palestina watabaki katika ardhi yao
Jan 27, 2025 07:21Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa wananchi wa Palestina wako imara katika ardhi yao na mpango wowote wa kuwahamisha utafeli. Amesisitiza kuwa: Wapalestina watabaki katika ardhi yao.
-
UNRWA yajibu vitisho vya Israel vya kusimamisha shughuli za shirika hilo la kimataifa
Jan 27, 2025 07:18Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa radiamali yake kwa vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusitishwa shughuli za shirika hilo la Umoja wa Mataifa huko Baitul Muqaddas Mashariki.
-
UNIFIL yasisitiza kuondoka Lebanon wanajeshi wa Israel
Jan 27, 2025 07:08Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kusini mwa Lebanon (UNIFIL) kimetaka kuondoka kikamilifu wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko kusini mwa Lebanon.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa baada ya askari wa Israel kuwafyatulia risasi raia kusini mwa Lebanon
Jan 26, 2025 11:37Vikosi vya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimewafyatulia risasi raia wa Lebanon wanaorejea makwao katika miji ya kusini mwa nchi hiyo, na kuua watu wasiopungua 11 na kuwajeruhi wengine 83.
-
HAMAS kuwaachia askari 4 wanawake wa Israel kwa Wapalestina 200 akiwemo kamanda wa Muqawama
Jan 25, 2025 06:39Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kamanda maarufu wa Palestina ataachiliwa leo ikiwa ni sehemu ya mabadilishano ya pili ya wafungwa na utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza kuanza kutekelezwa wiki iliyopita.
-
Israel haitaondoa askari wake kusini mwa Lebanon kama ilivyoafikiwa, Marekani yaiunga mkono
Jan 25, 2025 06:14Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel halitaondoka kusini mwa Lebanon utakapomalizika muhula uliowekwa wa siku 60 kesho Jumapili kulingana na makubaliano ya kusitisha vita yaliyofikiwa kati ya Israel na harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah.
-
Sababu gani zimepelekea kuongezeka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan?
Jan 24, 2025 12:21Katika siku za hivi karibuni, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na walowezi dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan yameongezeka.
-
HAMAS: Muqawama wa watu wa Gaza umeipigisha magoti Israel
Jan 24, 2025 09:18Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kusimama kidete watu wa Gaza na vikosi vya muqawama kumeshinda lengo la utawala unaokalia kwa mabavu la kuwatimua Wapalestina.
-
Matokeo ya usitishaji vita vya Gaza kwa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Jan 24, 2025 03:32Jeshi na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wamekabiliwa na hali mbaya kutokana na matokeo ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Miili 10,000 ya Wapalestina inaaminika imefunikwa na vifusi, zoezi la ufukuaji limeshapata 100
Jan 21, 2025 02:33Duru za tiba za Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimeripoti kuwa miili isiyopungua 97 imegunduliwa chini ya vifusi katika maeneo tofauti ya ukanda huo katika zoezi la ufukuaji lililoanza siku ya Jumapili baada ya kutekelezwa usitishaji vita.