Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Haaretz: Nasrullah alikuwa sahihi, Israel ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui

    Haaretz: Nasrullah alikuwa sahihi, Israel ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui

    Jul 26, 2023 22:59

    Gazeti la Haaretz limezungumzia hali mbaya ya kisiasa na kiuchumi inayotawala huko Israel, kukiri kwamba, mtazamo wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon katika kuufananishwa utawala wa Israel na nyumba ya buibui ilikuwa sahihi kabisa.

  • Kutiwa  nguvuni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Iran

    Kutiwa nguvuni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Iran

    Jul 26, 2023 04:37

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imetangaza kuwa imewatia mbaroni wanachama wa mtandao mkubwa zaidi wa kigaidi wenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mikoa kadhaa nchini.

  • Wazayuni wakaribia kutumbukia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe

    Wazayuni wakaribia kutumbukia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe

    Jul 20, 2023 23:06

    Mkuu wa zamani wa shirika la usalama wa ndani la utawala wa Kizayuni ameshindwa kuficha hofu yake kubwa kuhusu mustakbali wa kiza wa Israel na mabadiliko ya sheria yanayopiganishwa na Benjamin Natanyahu akisema kuwa, utawala wa Kizayuni umeanza kuingia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Wanamuqawama watekeleza oparesheni 20 dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Wanamuqawama watekeleza oparesheni 20 dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Jul 18, 2023 08:12

    Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa, wanamapambano wa Palestina jana walitekeleza oparesheni 20 za kimuqawama dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na huko Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Jul 17, 2023 01:02

    Wazayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada Kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.

  • Hamas: Mustakabali wa giza unaungojea utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hamas: Mustakabali wa giza unaungojea utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jul 14, 2023 03:57

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Hamas amesema: Mustakhbali mbaya na wa giza unaungojea utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kupanuka kwa muqawama na mapambano ni ishara ya mustakbali mbaya wa Israel.

  • Utawala wa Israel umeambulia patupu katika jinai zake dhidi ya Wapalestina huko  Jenin

    Utawala wa Israel umeambulia patupu katika jinai zake dhidi ya Wapalestina huko Jenin

    Jul 06, 2023 23:37

    Oparesheni ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina huko Jenin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imemalizika baada ya siku 2, na kwa mujibu wa Wazayuni, operesheni hiyo haijafanikiwa chochote.

  • OIC:Jinai za Jenin ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa wa Israel/Baraza la Usalama linapaswa kuchukua hatua

    OIC:Jinai za Jenin ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa wa Israel/Baraza la Usalama linapaswa kuchukua hatua

    Jul 04, 2023 01:01

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali jinai zinazotekelezwa na jeshi la utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuzitaja kuwa ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa na utawala huo.

  • Saudi Arabia yainyima Israel kibali cha kuhudhuria mkutano wa UNESCO

    Saudi Arabia yainyima Israel kibali cha kuhudhuria mkutano wa UNESCO

    Jul 01, 2023 03:24

    Shirika la habari la Sputnik la Russia limetangaza kuwa, Saudi Arabia imekataa kuwaruhusu wawakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Isarel kuhudhuria mikutano ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambayo imepangwa kufanyika mjini Riyadh mwezi Septemba mwaka huu.

  • Mwakilishi wa UAE katika Umoja wa Mataifa: Israel inapasa kusitisha haraka ujenzi wa vitongoji

    Mwakilishi wa UAE katika Umoja wa Mataifa: Israel inapasa kusitisha haraka ujenzi wa vitongoji

    Jun 28, 2023 04:28

    Mwakilishi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni kusimamisha haraka iwezekanavyo ujenzi wa vitingoji vya walowezi na mashambulizi dhidi ya Wapalestina ili kutolitumbukiza eneo katika mivutano zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS