Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Al Nujaba: Harakati za Uturuki nchini Iraq ni tishio

    Al Nujaba: Harakati za Uturuki nchini Iraq ni tishio

    Mar 07, 2022 08:40

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchini Iraq ya al Nujaba amesema kuwa harakati za Uturuki huko Iraq ni tishio; na kwamba iwapo nchi hiyo haitaacha chokochoko zake hizo basi Wairaki wataingia katika hali ya kijeshi.

  • Kumairishwa ushirikiano wa kiusalama na kiintelijinsia kati ya Uturuki na Israel

    Kumairishwa ushirikiano wa kiusalama na kiintelijinsia kati ya Uturuki na Israel

    Feb 17, 2022 23:14

    Mgogoro wa kiuchumi na matatizo ya kifedha yanayoikabili Uturuki yameendelea kugonga vichwa vya habari katika magazeti ya nchi hiyo.

  • Erdogan: Rais wa Israel ataitembelea Uturuki mwezi ujao

    Erdogan: Rais wa Israel ataitembelea Uturuki mwezi ujao

    Feb 03, 2022 09:07

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Isaac Herzog ataitembelea nchi hiyo mwezi ujao wa Machi.

  • Khazali: Wanamuqawama wa Iraq watajibu uchokozi mpya wa Uturuki

    Khazali: Wanamuqawama wa Iraq watajibu uchokozi mpya wa Uturuki

    Feb 02, 2022 23:00

    Katibu Mkuu wa harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ambalo ni tawi la muungano wa makundi ya muqawama wa Hashd al-Sha’abi nchini Iraq amesisitiza kuwa, mrengo wa mapambano ya Kiislamu utatoa jibu mwafaka kwa uvamizi na chokochoko mpya za jeshi la Uturuki dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Feb 02, 2022 04:27

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa watu wasiopungua wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika mji wa Sinjar kaskazini mwa Iraq.

  • Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Dec 20, 2021 05:42

    Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Dec 09, 2021 01:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria umuhimu wa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara wa Tehran na Ankara na kusema kuwa, kustawi kwa ushirikiano wa pande mbili kutaingia katika hatua mpya karibuni hivi, kwa kufanyika kongamano hapa Tehran.

  • Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Nov 25, 2021 04:07

    Mohammed Bin Zayed Al Nayhan, mrithi wa ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jana Jumatano tarehe 24 Novemba aliwasili mjini Ankara, Uturuki ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.

  • Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Nov 20, 2021 23:32

    Niger na Uturuki zimetangaza kufikia makubaliano ambayo yanajumuisha kuiuzia Niger silaha mbalimbali zikiwemo ndege zisizo na rubani (droni) na magari ya kivita ili kuongeza uwezo wake wa kijeshi katika kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Nov 16, 2021 23:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa ripoti kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kuhusu mazungumzo yake na waziri mwenzake wa Uturuki hapa Tehran na kusema kuwa, Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo la Asia Magharibi na mchango wa nchi hizo mbili katika eneo hilo haukanushiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS