Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Mousavi: Iran inapinga ukiukwaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala  mataifa ya eneo

    Mousavi: Iran inapinga ukiukwaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo

    Nov 10, 2019 09:54

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linapinga ukiukaji wowote ule wa mamlaka ya kujitawala mataifa ya eneo hili.

  • Sisitizo jingine la Uturuki la kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa Syria

    Sisitizo jingine la Uturuki la kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa Syria

    Nov 10, 2019 07:56

    Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Uturuki na Russia juu ya kuhitimishwa uvamizi wa kijeshi katika maeneo ya kaskazini na kaskazini mashariki mwa Syria, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki hajakanusha suala la nchi yake kuendeleza operesheni za kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Nov 08, 2019 04:48

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.

  • Uturuki yasema imemtia mbaroni dadake Abu Bakr Baghdadi

    Uturuki yasema imemtia mbaroni dadake Abu Bakr Baghdadi

    Nov 05, 2019 03:57

    Uturuki imetangaza habari ya kumtia mbaroni dada ya Abu Bakr al-Baghdadi, kinara wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) aliyejiua katika operesheni ya Marekani hivi karibuni.

  • Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Uturuki: Ufaransa na Israel zilitaka kuunda 'dola la kigaidi' Syria

    Nov 02, 2019 09:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema Ufaransa na utawala wa Kizayuni wa Israel zilikuwa na hamu kubwa ya kuunda dola la kigaidi ndani ya ardhi ya Syria.

  • Iran na Uturuki; washirika wawili wa kuaminiana katika wakati mgumu

    Iran na Uturuki; washirika wawili wa kuaminiana katika wakati mgumu

    Oct 31, 2019 06:56

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki, kama nchi mbili jirani zina kiwango kizuri cha uhusiano katika nyuga mbali mbali hasa za kiuchumi na katika uga wa kieneo pia ni nchi mbili athirifu.

  • Russia: Kuna ugumu katika utekelezaji wa makubaliano tuliyofikia na Uturuki kuhusu Syria

    Russia: Kuna ugumu katika utekelezaji wa makubaliano tuliyofikia na Uturuki kuhusu Syria

    Oct 30, 2019 23:01

    Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergey Shoygu amesema, utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi yake na Uturuki kuhusu Syria umekuwa ukisuasua.

  • Jumanne, tarehe 29 Oktoba, 2019

    Jumanne, tarehe 29 Oktoba, 2019

    Oct 28, 2019 23:21

    Leo ni tarehe 30 Safar 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 29 Oktoba mwaka 2019.

  • Rais Bashar al Assad atembelea mstari wa mbele wa vita dhidi ya magaidi kusini mwa Idlib

    Rais Bashar al Assad atembelea mstari wa mbele wa vita dhidi ya magaidi kusini mwa Idlib

    Oct 22, 2019 08:25

    Rais Bashar al Assad wa Syria akiwa pamoja na makamanda wa jeshi la nchi hiyo, amefika katika mstari wa mbele wa vita dhidi ya makundi ya kigaidi katika mkoa wa Idlib.

  • Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Marekani yasema iko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki

    Oct 22, 2019 04:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Rais Donald Trump yuko tayari kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Uturuki iwapo 'italazimu'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS